Je mbunge askofu Gwajima atavunja rekodi ya yule mbunge Zitto Kabwe wa Buzwagi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,874
Ngoja tuone iwapo Askofu Gwajima atajiuzulu.

Ikumbukwe kuwa rekodi pekee ya kijasiri hadi sasa inashikiliwa na aliyekuwa mbunge wa Kigoma kaskazini mh Zitto Kabwe aliyekataa kuomba msamaha baada ya Spika Sitta kumtaka afanye hivyo.

Zitto Kabwe alikuwa akihojiwa kuhusu mgodi wa Buzwagi.
 
Ningeshairi CCM wawe makini.ni simple kuisambaratisha CCM kupitia askofu Gwajima.very simple like drinking water.time will tell
 
Ngoja tuone iwapo Askofu Gwajima atajiuzulu.

Ikumbukwe kuwa rekodi pekee ya kijasiri hadi sasa inashikiliwa na aliyekuwa mbunge wa Kigoma kaskazini mh Zitto Kabwe aliyekataa kuomba msamaha baada ya Spika Sitta kumtaka afanye hivyo.

Zitto Kabwe alikuwa akihojiwa kuhusu mgodi wa Buzwagi.
kosa walilofanya ccm ni kudhani kuwa gwajima ni mtu mwenye hekima anastahili kuwa mbunge wa jimbo kubwa kama kawe....ni aibu kubwa
 
Ningeshairi CCM wawe makini.ni simple kuisambaratisha CCM kupitia askofu Gwajima.very simple like drinking water.time will tell
Waache hata uchaguzi uje unoge,wao walitakiwa wajiulize kwanini chanjo zao zimedoda?
Je Gwajima anaungwa mkono na watu kiasi gani?

JPM ndo alianza kupinga chanjo je wananchi wanayaamini bado maneno ya Magufuli kuliko ya mama?
Je Kama kashindwa kuwashawishi kuchanjwa na kuvaa barakoa,watu wanapuyanga tu,tumeona kwenye Yanga day.je anakubalika kiasi gani?

Wanazi ni rahisi kusema fukuza! Safi, yajayo yanafurahisha.
 
Back
Top Bottom