Angalia anavyotafuta umarufu??
"@zittokabwe: @JMakamba @jjmnyika Ninaleta ombi kmt ya Bunge ya Nishati na Madini ifanye uchunguzi maalumu kuhusu zabuni ya uagizaji mafuta ya IPTL."
My take: this is cheap publicity you are after!!!
Umeme tunapata unataka nini zaidi?
tatizo la Zitto hapo ni nini ?
Gubu si zuri mnyonge mnyongeni haki zake mpeni Zitto anapiga mzigo na kama kuna makosa anafanya basi ni ya kibinadamu sana na yasichukuliwe serious kihivyo
Sote tukumbuke kuwa ktk ujenzi wa CHADEMA huwezi kumuondoa Zitto kwenye list mkuu Uwe balanced
FF mwenyewe ana mkubali
frustration is given by expectationdivide byfrustration = expectation/outcome
outcome
ie
It high time tuwageuke wanasiasa, wamekaa kugeuza geuza maneno tu, kwani waliosababisha tukakosa umeme wa ricmond si hao hao kina ZITTO?
Umeme upo bana acheni mashihara
Haya ngoja ZITTO awatibue hao wanaopeleka mafuta IPTL mwone kama hamjaingia gizani
Umeme tunapata unataka nini zaidi?
Hajakatiwa huyo kama na Barick, kimya hatujasikia tena kuwasakama. Na hawa game ndio hiyo hiyo.
hili ndio tatizo la watanzania wengi, eti umeme tunapata kwahiyo hakuna haja ya kufanya uchunguzi zabuni ya uagizaji mafuta..! Kwahiyo hata kama zabuni hiyo itakuwa na zengwe kwenye bei, au upatikanaji wa zabuni yenyewe umegubikwa na rushwa na madhaifu mengine kwasasa hilo sio tatizo tena.Angalia anavyotafuta umarufu??
"@zittokabwe: @JMakamba @jjmnyika Ninaleta ombi kmt ya Bunge ya Nishati na Madini ifanye uchunguzi maalumu kuhusu zabuni ya uagizaji mafuta ya IPTL."
My take: this is cheap publicity you are after!!!
Umeme tunapata unataka nini zaidi?
hili ndio tatizo la watanzania wengi, eti umeme tunapata kwahiyo hakuna haja ya kufanya uchunguzi zabuni ya uagizaji mafuta..! Kwahiyo hata kama zabuni hiyo itakuwa na zengwe kwenye bei, au upatikanaji wa zabuni yenyewe umegubikwa na rushwa na madhaifu mengine kwasasa hilo sio tatizo tena.
kaa chini fikiria wewe kijana nchi yetu imefika hapa ilipo kwa mawazo na utendaji wa staili hii ya kwako.
Jamani, Tanesco stands for Shirika la ugavi wa umeme, kwahiyo mgao ni kitu inherent, inatakiwa pasipokuwepo mgao ndio tushangae.
Angalia anavyotafuta umarufu??
"@zittokabwe: @JMakamba @jjmnyika Ninaleta ombi kmt ya Bunge ya Nishati na Madini ifanye uchunguzi maalumu kuhusu zabuni ya uagizaji mafuta ya IPTL."
My take: this is cheap publicity you are after!!!
Umeme tunapata unataka nini zaidi?
na ww umeoa kwa nani? Hoja hapa ni ZITTO kudandia hoja nyepesi!! acheni ushabiki jadili hoja
Angalia anavyotafuta umarufu??
"@zittokabwe: @JMakamba @jjmnyika "Ninaleta ombi kmt ya Bunge ya Nishati na Madini ifanye uchunguzi maalumu kuhusu zabuni ya uagizaji mafuta ya IPTL."
My take: this is cheap publicity you are after!!!
Umeme tunapata unataka nini zaidi?