Kinachoshangaza ni kuwa,wananchi wenyewe wa libya wanaunga mkono NATO,hata Arab League wanaunga mkono.Sembuse sisi watanzania?.Definitely kussuport Ulipuaji wa Libya ni ukosefu wa uoni wa hali ya juu. So far Idadi ya Raia ambao nato imeua ni zaidi ya 1000 kwa sasa, na idadi ya raia ambao walikufa kutokana na vurugu za mwezi february ni around 250, japo vyote ni vifo vinasikitisha lakini NATO Wameua wengi zaidi kuliko Ghadafi. Miundo mbinu iliyolipuliwa ni mingi kikiwemo chuo kikuu, sasa ni kwa Vipi unaweza in the name of democracy kussuport unyama na ushenzi wa aina hii?.
Democracy is more sacred than human life?, acheni kuunga mkono unyama, what goes around comes around!, siombei yatokee Tz, lakini akitokea mwendawazimu hata mmoja huko TZ akaamua kuwaita magaidi ya Kimataifa kama NATO yabomoe nchi eti kisa demokrasia huyo mtu ni wa kunyonga mpaka afe, hata kama kweli alidhulumiwa kwenye uchaguzi au vyovyote vile!
Gamba hapo umenenaDefinitely kussuport Ulipuaji wa Libya ni ukosefu wa uoni wa hali ya juu. So far Idadi ya Raia ambao nato imeua ni zaidi ya 1000 kwa sasa, na idadi ya raia ambao walikufa kutokana na vurugu za mwezi february ni around 250, japo vyote ni vifo vinasikitisha lakini NATO Wameua wengi zaidi kuliko Ghadafi. Miundo mbinu iliyolipuliwa ni mingi kikiwemo chuo kikuu, sasa ni kwa Vipi unaweza in the name of democracy kussuport unyama na ushenzi wa aina hii?.Democracy is more sacred than human life?, acheni kuunga mkono unyama, what goes around comes around!, siombei yatokee Tz, lakini akitokea mwendawazimu hata mmoja huko TZ akaamua kuwaita magaidi ya Kimataifa kama NATO yabomoe nchi eti kisa demokrasia huyo mtu ni wa kunyonga mpaka afe, hata kama kweli alidhulumiwa kwenye uchaguzi au vyovyote vile!
Toilet smellHuo ni mtazamo wa zitto lakini sisi watanzania tukivunja uhusiano na USA, UK , FRANCE na RUSSIA na NATO kwa ujumla tutasalimika kweli?
hii sio issue ya kupewa misaada tu hata vituko vya hao jamaa tunaweza kuviimili? Tanzania tusijifanye na sisi tuna sauti bana ukweli unabaki pale pale hata kwenye familia kunakuwa na mkubwa, hata nchi ina mkuu na dunia ni hivyo hivyo hao ni wakubwa na lazima tuwafuate la watatufundisha adabu na uwezo wanao.
wakianza kuujumu mifumo yetu ya computer, bank na ulinzi tunauwezo wakujiposha, IRAQ iko wapi na nuklia zao? tuwe na heshima na wakubwa ili tupate mkate wetu BANA sio kupiga kelele tena za mambo ambayo hata hayatuhusu,
haya ndiyo alifanya NYERERE kuikombo AFRIKA ni nani anatukumbuka kwa vita tulivyowapigania?
LEO HII waafrika kusini wanatunyosha na makapuni yao badala ya kutusaidia kama tulivyofanya wakati wa uhuru, tuliwapa ardhi lakini hata leo hukienda hapo mahali (dakawa) hakuna ujenzi wote wote kutoka afrika kusini kama shukurani
Zimbabwe walijaribu nadhani hali hali hiko wazi, sasa cha kutufanya twende huko kwa manufaa ya LIBYA ni yepi?
mimi ninaishi na walibya wao wenyewe hawamtaki Gaddafi kutoka na ufisadi wake, ZItto kwanza aeleze kama Gadaffi ni fisadi au sio fisadi sio kukurupuka tu na hoja zisizo timilika au sadikiki , RUSSIA walikuwa wanapinga hivyo vita sasa wamekuwa msitari wa mbele kumtoa Gaddafi,
kuna wanawake walibakwa kwa kumpinga Gadaffi wanajeshi wake walipewa Viagra na kuwashugulikia hao hakina mama naposema kina mama nina maana wengi sio wawili watatu na hiyo ni moja ya mashitaka yanayomkabi Gadaffi,
tusiingii kupinga mambo kwa kuangalia AL JEZEERA sometime they wrong.
vita ilipo anza walikuwa ni walibya kwa walibya Gadaffi alionywa kutotumia siraha kali zidi ya waasi lakini hakusikia, sasa yanamrudi watu wanaleta misukumo ya dini kutetetea na kukwamtazamo huu ndio maana mimi huwa naona ZITTO hafai kuwa NATIONAL leader ni mkurupukaji na mtafuta nafsi kutwaa madaraka.
hawa wanasiasa wasitubuluze na kelele zao za makopo, sasa ni wakati wa kujenga inchi yetu mbona Amerika kusini kuna nchi kibao zinamatatizo na marekani jirani tu hapo ajishughulishi nazo.
INDIA ina ikandamiza NAPEL lakini mchina yuko kimya, zimbambwe imetendwa mbaya lakini afrika kusini anaendelea na biashara zao
Waacheni wa Libya waamue mambo yao.
Wenyewe ndo walianza kumkataa Ghadafi, NATO inawasaidia kutimiza lengo
Nyie shida yenu nini?
Zitto ni kutaka tu aonekane kila siku anaongea. Nadhani kaanza kuishiwa hoja za maana.
Suala la Libya halipaswi kutupotezea muda tuna mambo yetu ya kushughulikia mengi.
Waacheni wa Libya waamue mambo yao.
Wenyewe ndo walianza kumkataa Ghadafi, NATO inawasaidia kutimiza lengo
Nyie shida yenu nini?
Zitto ni kutaka tu aonekane kila siku anaongea. Nadhani kaanza kuishiwa hoja za maana.
Suala la Libya halipaswi kutupotezea muda tuna mambo yetu ya kushughulikia mengi.
stupid!gaddafi aliuwa zaidi ya raia 5500 na askari walioasi zaid ya 400,be care,usiandike kishabiki tuu.Definitely kussuport Ulipuaji wa Libya ni ukosefu wa uoni wa hali ya juu. So far Idadi ya Raia ambao nato imeua ni zaidi ya 1000 kwa sasa, na idadi ya raia ambao walikufa kutokana na vurugu za mwezi february ni around 250, japo vyote ni vifo vinasikitisha lakini NATO Wameua wengi zaidi kuliko Ghadafi. Miundo mbinu iliyolipuliwa ni mingi kikiwemo chuo kikuu, sasa ni kwa Vipi unaweza in the name of democracy kussuport unyama na ushenzi wa aina hii?.Democracy is more sacred than human life?, acheni kuunga mkono unyama, what goes around comes around!, siombei yatokee Tz, lakini akitokea mwendawazimu hata mmoja huko TZ akaamua kuwaita magaidi ya Kimataifa kama NATO yabomoe nchi eti kisa demokrasia huyo mtu ni wa kunyonga mpaka afe, hata kama kweli alidhulumiwa kwenye uchaguzi au vyovyote vile!
Huyo Zitto hameishiwa kama tunategemea kuna mbunge basi hana kitu yeye na hakili zake unaeweza ukasema Tanzania ifute uhusiano na nchi za Magharibi?Tunauwezo gani wa kujisimamia kiuchumi sisi kama sisi?POLEEE MH.