PreGE2025 Zitto asema kauli ya makalla siyo 'Uenezi' bali ni 'Unazi', amtaka aifute na kuomba msamaha

PreGE2025 Zitto asema kauli ya makalla siyo 'Uenezi' bali ni 'Unazi', amtaka aifute na kuomba msamaha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha ACT Waalendo, Zitto kabwe ametoa maoni yake pia kuhusu kauli aliyoitoa katibu muenezi wa CCM Amos Makala Kuhusu Chadema kuwa wanataka kupandikiza Ebola nchini.

Kupitiaukurasa ake wa X Zitto ameandika:

"Kauli hatari sana katika siasa zetu na kwa Taifa letu. Huu sio uenezi ni UNAZI. Bwana Makalla afute kauli hii na kuomba radhi. Tunaweza kufanya siasa kwa hoja sio viroja hivi"

1742745107682.png

Soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!
 
Kauli hatari sana katika siasa zetu na kwa Taifa letu. Huu sio uenezi ni UNAZI. Bwana Makalla afute kauli hii na kuomba radhi. Tunaweza kufanya siasa kwa hoja sio viroja hivi
Kauli ipi?
Sio kila mtu anamsikilizaga Makala
 
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha ACT Waalendo, Zitto kabwe ametoa maoni yake pia kuhusu kauli aliyoitoa katibu muenezi wa CCM Amos Makala Kuhusu Chadema kuwa wanataka kupandikiza Ebola nchini.

Kupitiaukurasa ake wa X Zitto ameandika:

"Kauli hatari sana katika siasa zetu na kwa Taifa letu. Huu sio uenezi ni UNAZI. Bwana Makalla afute kauli hii na kuomba radhi. Tunaweza kufanya siasa kwa hoja sio viroja hivi"

View attachment 3281069
Makalla kweli ni makala. Yaani huyu jamaa amekuwa hewa kupita maelezo. Kwa mtu mzima mwenye kubeba dhamana kubwa kuongea ujinga ina onyesha ni kwa kiasi gani hii nchi ina ongozwa na wajinga
 
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha ACT Waalendo, Zitto kabwe ametoa maoni yake pia kuhusu kauli aliyoitoa katibu muenezi wa CCM Amos Makala Kuhusu Chadema kuwa wanataka kupandikiza Ebola nchini.

Kupitiaukurasa ake wa X Zitto ameandika:

"Kauli hatari sana katika siasa zetu na kwa Taifa letu. Huu sio uenezi ni UNAZI. Bwana Makalla afute kauli hii na kuomba radhi. Tunaweza kufanya siasa kwa hoja sio viroja hivi"

View attachment 3281069
Soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!
Sio UNAZI tu bali ni "ULANZI" huko ni kuweweseka kwa Makala na CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha ACT Waalendo, Zitto kabwe ametoa maoni yake pia kuhusu kauli aliyoitoa katibu muenezi wa CCM Amos Makala Kuhusu Chadema kuwa wanataka kupandikiza Ebola nchini.

Kupitiaukurasa ake wa X Zitto ameandika:

"Kauli hatari sana katika siasa zetu na kwa Taifa letu. Huu sio uenezi ni UNAZI. Bwana Makalla afute kauli hii na kuomba radhi. Tunaweza kufanya siasa kwa hoja sio viroja hivi"

View attachment 3281069
Soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!
Kwa nafasi ya Makala hiyo kauli sio yake... Ni ya KAMATI KUU
 
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha ACT Waalendo, Zitto kabwe ametoa maoni yake pia kuhusu kauli aliyoitoa katibu muenezi wa CCM Amos Makala Kuhusu Chadema kuwa wanataka kupandikiza Ebola nchini.

Kupitiaukurasa ake wa X Zitto ameandika:

"Kauli hatari sana katika siasa zetu na kwa Taifa letu. Huu sio uenezi ni UNAZI. Bwana Makalla afute kauli hii na kuomba radhi. Tunaweza kufanya siasa kwa hoja sio viroja hivi"

View attachment 3281069
Soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!
Kwani Zitto amethibitisha kilichosemwa na Makalla sio kweli?
 
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha ACT Waalendo, Zitto kabwe ametoa maoni yake pia kuhusu kauli aliyoitoa katibu muenezi wa CCM Amos Makala Kuhusu Chadema kuwa wanataka kupandikiza Ebola nchini.

Kupitiaukurasa ake wa X Zitto ameandika:

"Kauli hatari sana katika siasa zetu na kwa Taifa letu. Huu sio uenezi ni UNAZI. Bwana Makalla afute kauli hii na kuomba radhi. Tunaweza kufanya siasa kwa hoja sio viroja hivi"

View attachment 3281069
Soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!
Huyu ni Makala ni kirusi mwenyewe
 
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha ACT Waalendo, Zitto kabwe ametoa maoni yake pia kuhusu kauli aliyoitoa katibu muenezi wa CCM Amos Makala Kuhusu Chadema kuwa wanataka kupandikiza Ebola nchini.

Kupitiaukurasa ake wa X Zitto ameandika:

"Kauli hatari sana katika siasa zetu na kwa Taifa letu. Huu sio uenezi ni UNAZI. Bwana Makalla afute kauli hii na kuomba radhi. Tunaweza kufanya siasa kwa hoja sio viroja hivi"

View attachment 3281069
Soma: Pre GE2025 - Makalla: CHADEMA wanataka kuingiza Ebola Tanzania ili wazuie uchaguzi!
Kauli yake ina athari kubwa sana kwenye uchumi wa nchi. Maana watalii wanaweza pungua Kwa sababu ya kuhofia usalama wao, hivyo Royal tour itakuwa Haina maana Tena. Yaani Kwa ufupi "Hajatumia akili"
 
Kauli ya Makalla ni upumba.vu wa hali ya juu. Watu kama Makalla hawatakiwi kabisa katila Taifa letu.

Hivi kweli CCM imekosa kabisa watu wenye akili, kiasi cha kumpa dhamana mtu mpuuzi kabisa kama Makalla??

CCM tafuteni watu wenye akili kwaajili ya nafasi mbalimbali za chama. Chama kimejaa viongozi wa hovyo hovyo sana.
 
Kwani Zitto amethibitisha kilichosemwa na Makalla sio kweli?

Swali la kijinga. Labda na wewe ni miongoni mwa watupu kichwani.

Kuna vitu vingine logic na akili ya kawaida, kama unayo, unakuongoza kuwa ni upum.bavu.

Hivi kwa mfano wewe ukaibiwa magunia ya mahindi 1000, halafu akatokea mpuuzi mmoja akakuambia kuwa yeye anamjua mhusika, alimwona jirani yako amebeba magunia 1,000 mgongoni; utaenda kufanya uchunguzi ili kuhakikisha kama kweli jirani yako huyo alibeba hayo magunia 1,000 ya mahindi mgongoni?
 
Swali la kijinga. Labda na wewe ni miongoni mwa watupu kichwani.

Kuna vitu vingine logic na akili ya kawaida, kama unayo, unakuongoza kuwa ni upum.bavu.

Hivi kwa mfano wewe ukaibiwa magunia ya mahindi 1000, halafu akatokea mpuuzi mmoja akakuambia kuwa yeye anamjua mhusika, alimwona jirani yako amebeba magunia 1,000 mgongoni; utaenda kufanya uchunguzi ili kuhakikisha kama kweli jirani yako huyo alibeba hayo magunia 1,000 ya mahindi mgongoni?
Unahisi kwa hiki ulichoandika umetofautiana na mtu mjinga na mpumbavu? Ebu rudia kusoma ulichoandika.
 
Back
Top Bottom