Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
maghembe. chiza, mwannri,, mkuchika wote niwatuhumiwa!!!anyway unajua jk ameshazoea kutuona sote ni wajinga au watoto! slaa alituonya kumchagua ni janga hatukusikia kwani utawala wake umejaa skendo tuu hakuna tija wala maendeleo
Ukweli mtupu usiofichika hata mjinga anaweza kuliona hili