Zitto asema hoja yao iko pale pale

Zitto asema hoja yao iko pale pale

EasyFit

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
1,269
Reaction score
1,082
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe alisema mabadiliko hayo ya baraza la mawaziri hayatoi uhalali wa wao kutoa hoja yao ya kutaka waziri mkuu awajibike, bali uamuzi wa pamoja wa wabunge waliotia saini kutaka kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ndiyo utakaofuatwa.

Alisema kutokana na mabadiliko hayo Bunge limekuwa imara na limeonyesha dhamira ya kweli ya kuisimamia serikali kwa ajili ya maslahi ya wananchi na kwamba sasa taarifa ya CAG itakuwa inathaminiwa kwa kiwango kikubwa.

“Ile dharau inayoonyeshwa na mawaziri katika ripoti mbali mbali juu ya wizara zao sasa tunaamini haitakuwepo na wataheshimu maamuzi ya kamati mbali mbali pamoja na taarifa ya CAG,” alisema Zitto.

Aliongeza kuwa hatua hiyo ni kuelekea kujenga Bunge imara la kuweza kuwawajibisha watendaji wanaokiuka maadili na kushindwa kulinda mali ya umma.

Filikunjombe aunga mkono

Naye Mbunge wa Ludewa, Deo Fillikunjombe, ambaye katika Bunge lililopita alikuwa miongoni mwa vinara waliotaka mawaziri wawajibishwe kwa maslahi ya taifa alisema hatua hiyo ni nuru njema kwa Watanzania.

Alirejea kauli yake kuwa maamuzi hayo ya kubadilishwa mawaziri ni kutokana na nguvu ya Bunge na kwamba wao walisimamia maslahi ya wananchi.

Alisema ilikuwa ni kawaida kwa serikali kutofanyia kazi maazimio mbalimbali yanayotolewa bungeni na kwamba huo ni mwanzo wa kuhakikisha serikali inatambua kuwa Bunge lipo.

CHANZO: Tanzania Daima
 
Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe alisema mabadiliko hayo ya baraza la mawaziri hayatoi uhalali wa wao kutoa hoja yao ya kutaka waziri mkuu awajibike, bali uamuzi wa pamoja wa wabunge waliotia saini kutaka kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ndiyo utakaofuatwa.

Alisema kutokana na mabadiliko hayo Bunge limekuwa imara na limeonyesha dhamira ya kweli ya kuisimamia serikali kwa ajili ya maslahi ya wananchi na kwamba sasa taarifa ya CAG itakuwa inathaminiwa kwa kiwango kikubwa.

"Ile dharau inayoonyeshwa na mawaziri katika ripoti mbali mbali juu ya wizara zao sasa tunaamini haitakuwepo na wataheshimu maamuzi ya kamati mbali mbali pamoja na taarifa ya CAG," alisema Zitto.

Aliongeza kuwa hatua hiyo ni kuelekea kujenga Bunge imara la kuweza kuwawajibisha watendaji wanaokiuka maadili na kushindwa kulinda mali ya umma.

Filikunjombe aunga mkono

Naye Mbunge wa Ludewa, Deo Fillikunjombe, ambaye katika Bunge lililopita alikuwa miongoni mwa vinara waliotaka mawaziri wawajibishwe kwa maslahi ya taifa alisema hatua hiyo ni nuru njema kwa Watanzania.

Alirejea kauli yake kuwa maamuzi hayo ya kubadilishwa mawaziri ni kutokana na nguvu ya Bunge na kwamba wao walisimamia maslahi ya wananchi.

Alisema ilikuwa ni kawaida kwa serikali kutofanyia kazi maazimio mbalimbali yanayotolewa bungeni na kwamba huo ni mwanzo wa kuhakikisha serikali inatambua kuwa Bunge lipo.

CHANZO: Tanzania Daima
Hoja iendelee kwa sababu mbona Maghembe na Mkuchika wameendelea kupeta wizarani?. Na vipi kuhusu hatua za kisheria dhidi ya hawa wezi!
 
Kikubwa hapo ni juu ya hao wezi mawaziri na maibu wazir kama maghembe, malima bado wapo humo kwenye wizara. Pia tunataka wezi wawajibishwe ili liwe funzo.
 
Hoja iendelee kwa sababu mbona Maghembe na Mkuchika wameendelea kupeta wizarani?. Na vipi kuhusu hatua za kisheria dhidi ya hawa wezi!

maghembe. chiza, mwannri,, mkuchika wote niwatuhumiwa!!!anyway unajua jk ameshazoea kutuona sote ni wajinga au watoto! slaa alituonya kumchagua ni janga hatukusikia kwani utawala wake umejaa skendo tuu hakuna tija wala maendeleo
 
Hoja ikibarikiwa kujadiliwa zito n cn watashindwa mbaya.Nadhani mnafahamu chama cha wanafiki
 
maghembe. chiza, mwannri,, mkuchika wote niwatuhumiwa!!!anyway unajua jk ameshazoea kutuona sote ni wajinga au watoto! slaa alituonya kumchagua ni janga hatukusikia kwani utawala wake umejaa skendo tuu hakuna tija wala

maendeleo

zitto nae ni fisadi tuh
atuambie hiii brand new range rover sport anayotamba nayo huku tabata kaipataje pataje hali ya kua yeye ni mbunge tuh?
Familia yake maskin haina hata historia ya kumilimiki bajaji,leo kwa kazi ya kuwawakilisha wananchi wa kigoma kusini tuh hana biashara hana historia ya pesa kaipata pata vip luxury n expensive car kama hili?
Tanzanians we r smarter than that
tutairekebisha ccm ibadilike,waingie watu safi wachafu waondoke kuliko kuwapa watu wa siasa za maji machafu nchii hii waiharibu,watu wa ukanda,watu wa ukabila,watu wa udini
katu kamwe hatuwez thubutu..!
 
Hoja iendelee as bado kuna viwavi kwa baraza jipya.
Huwezi mtoa kafala mkuu na kumrudisha mdogo
 
Mbona hajasema what next? au wabunge waliotia sahihi watakutana ili kutoa uamuzi wa pamoja kuendelea na hoja yao na kama ndio hivyo watakutana lini?
 
Kuna ********* mmoja anaitwa Kigwangwalla alikataa kusaini fomu ya Zitto akidhani atachaguliwa kuwa Waziri wa afya, ******* kabisa huyu.
 
zitto nae ni fisadi tuhatuambie hiii brand new range rover sport anayotamba nayo huku tabata kaipataje pataje hali ya kua yeye ni mbunge tuh?Familia yake maskin haina hata historia ya kumilimiki bajaji,leo kwa kazi ya kuwawakilisha wananchi wa kigoma kusini tuh hana biashara hana historia ya pesa kaipata pata vip luxury n expensive car kama hili?Tanzanians we r smarter than thattutairekebisha ccm ibadilike,waingie watu safi wachafu waondoke kuliko kuwapa watu wa siasa za maji machafu nchii hii waiharibu,watu wa ukanda,watu wa ukabila,watu wa udinikatu kamwe hatuwez thubutu..!
Ficha upumbavu wako ukanda upi? ukabila gani? udini upi? acha kufikiri kijingajinga yaani badala ya kujenga hoja we unaanza kukashifu watu! what a shame? Tunarudishwa nyuma na watu wasiofikiria sawasawa.Je hujui ubadhilifu unahitaji kufuatiliwa ili wabadhilifu warudishe mali zetu na wahukumiwe kwa makosa yao? Je haudhani kwamba tukipunguza ufisadi kama sio kuuondoa kabisa tutapiga hatua kubwa ya kimaendeleo? Think big buddy!!!!
 
zitto nae ni fisadi tuh
atuambie hiii brand new range rover sport anayotamba nayo huku tabata kaipataje pataje hali ya kua yeye ni mbunge tuh?
Familia yake maskin haina hata historia ya kumilimiki bajaji,leo kwa kazi ya kuwawakilisha wananchi wa kigoma kusini tuh hana biashara hana historia ya pesa kaipata pata vip luxury n expensive car kama hili?
Tanzanians we r smarter than that
tutairekebisha ccm ibadilike,waingie watu safi wachafu waondoke kuliko kuwapa watu wa siasa za maji machafu nchii hii waiharibu,watu wa ukanda,watu wa ukabila,watu wa udini
katu kamwe hatuwez thubutu..!
Your thinking is too low and pathetic.
 
Hivi Wana JF,
Kwa yaliyotekea kwa mawaziri wetu,lugha sahihi ya kutumiwa ni kuwa walifukuzwa uwaziri au wamejiuzulu?
Manake waligoma kujiuzulu mpaka JK alipotangaza wapya.Sasa tusija kesho kusikia mawaziri waliojiuzulu!


Wamesahaulika
 
JK kaishiwa watu, mkitaka wavunje tena baraza la mawaziri itabidi achague wabunge wapya ili awape tena uwaziri.... Tumuache sasa atulie manake atakonda kwa pressure!!
 
JK kaishiwa watu, mkitaka wavunje tena baraza la mawaziri itabidi achague wabunge wapya ili awape tena uwaziri.... Tumuache sasa atulie manake atakonda kwa pressure!!

kweli mkuu kwa maana ile sura na kauli za jana jamaa anaonekana safari hii ameamua.
 
Hii ndio good news ya kwanza kuipata baada ya usanii wa jana

kubadilisha baraza la mawaziri jana hakuonyeshi kwamba jana Pinda kaanza kufanya kazi..

Kama alikuwa hana meno sio kweli kwamba meno kayapata jana
 
Hivi Wana JF,
Kwa yaliyotekea kwa mawaziri wetu,lugha sahihi ya kutumiwa ni kuwa walifukuzwa uwaziri au wamejiuzulu?
Manake waligoma kujiuzulu mpaka JK alipotangaza wapya.Sasa tusija kesho kusikia mawaziri waliojiuzulu!
Mkuu hao jamaa wamefukuzwa, JK banaaa! Mwanzo aliwaambia huo ni upepo tu utapita kumbe alikuwa anawalia timing wasijiuzulu na sasa amewafukuza!! Aibu... Hawa mawaziri wangesoma alama za nyakati na kujiuzulu kuliko kusubiri kufukizwa
 
images


Watanzania hamna shukrani kabisa, mbona tayari mitambo wa kusaga pesa zetu zimefumuliwa?



images
 
Your thinking is too low and pathetic.

my thinkin is too low and pathetic
sawa,so according to you great thinker what makes u to believe that chadema will change the situation?
Dont u realize that hao pia wanapigania matumbo yao?
Me nashangaaa sana watz kwa kukaa na kutemegemea kua wanasiasa watabadilisha hali ya nchi hii na kuacha jambo muhim la kufanya waamuz wa mambo ya nchi hii wawe wenyew wananch kwa kuihangaikia na kuhamishana kuhus katiba yenye muelekeo,whats the difference btn slaa na jk?lipumba n mbatia?maalim seif n mrema?
Wote walikua ccm,wote wanapigania matumbo yao?
Ktk msafara wa mamba kenge pia wamo,acha kufuata mkumbo kama kenge,et great thinker..!great thinker utakua wewe?
Wanasiasa wote ni wanafiki nan asiejua?badala ya kukaa na kuhangaikia katiba itayobadilisha muelekeo wa nchi wewe umekaa m4c..!m4c..!haya wakija kufanya madudu zaid ya haya utafanya nin?utalilia changes zingne?
U think mbowe,slaa,zitto gives a damn bout you?
Litakuchwea na naona mishipa ya shingo inakutoka kushupalia ulafi wa wenzake kwa rasilimali za wanyonge wadanganyika
chadema ni wakanda,wakabila,wadini
kama ilivokawa cuf pia,,na kuitoa ccm wafanye kazi kweli kweli
sio kirahis kama wanavofikiria..!
 
Nyambafu huyu alikuwa anatusumbua kumsubiri uwanja wa ndege Mwanza kisa eti yeye ni Waziri

images
 
Back
Top Bottom