Zitto apingana na Mnyika na Lema

Zitto apingana na Mnyika na Lema

Kwa ujinga wangu mimi nawaza tu. Kuna dhambi gani kwa Zitto kutokukubaliana na Mnyika? Kwan mapendekezo ya Mnyika ndio yapo sahihi kwa asilimia mia kuliko ya Zitto?

Ifikie mahali watanzania tuache mihemko ya kipumbavu, ifike mahali tukubali kukubaliana na tukubali kutokukubaliana
 
Back
Top Bottom