Nyie huwa hamchelewi kumvua MTU gwanda akiwapinga, so mulisema zitto kamanda mzuri?Zitto yuko upande wa maCCM. Hivi alishatoa ufafanuzi kuhusu uteuzi wa mwenyekiti wake kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro?
Zitto ni mwanakitengo idara ya economic sabotage .
Zitto ni CCM C baada ya Lipumba
Watasema ni Msaliti
Zitto Jembe
Umetoka kwenye ban.Watasema ni Msaliti
Zitto Jembe
poaNyie huwa hamchelewi kumvua MTU gwanda akiwapinga, so mulisema zitto kamanda mzuri?
Akiba ya chama tawalaJamaa ni kinyonga...hubadili rangi kutokana na mazingira![]()
Act ni ya lowassa!
Ulimwelewa lakini mchangiaji??Je Wewe uliye Upande wa Ma Chadema yako, ulishahoji juu ya Uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa "mabebi" ?
Lazima ranking yake muweke hivo maana nivibaraka wenu...Zitto ,Lipumba n.kUsiseme Zitto apingana na Mnyika na Lema, bali sema Lema na Mnyika wapinganana na Zitto!! Maana Zitto mmoja ni sawa na Kamati kuu yote ya CDM
Kila kitu kina faida na hasara....faida ya mashimo yale ...ni kuturahisishia sehemu za kujaribu TSAR zetu siku za usoni! (definitely joking)...
Kwamba huo mswada wa madini kwa dharura ndio utakao okoa mashimo yaliyobaki tupu na ukiwa sheria hapo hapo yatajaa dhahabu?....
HahahahahaUsiseme Zitto apingana na Mnyika na Lema, bali sema Lema na Mnyika wapinganana na Zitto!! Maana Zitto mmoja ni sawa na Kamati kuu yote ya CDM
Zitto yuko upande wa maCCM. Hivi alishatoa ufafanuzi kuhusu uteuzi wa mwenyekiti wake kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro?