Pole mkuu, CCM CSasa kama upeo wako wa kufikiri umeishia hapo hatuna haja ya kukulaumu.
Sisi ACT wazalendo hautupi shida.
Pole mkuu, CCM C
Mnakosea kitu kimoja-ni nani aliyepinga hiyo miswada? Tatizo la Zitto ni ubinafsi uliopitiliza. Ukimsikiliza kwenye hiyo clip unaweza kuelewa. 1. Zitto ametumia muda wake mwingi katika kipindi chake cha ubunge akijihusisha na masuala haya ya mikataba ya madini, kwa ubinafsi wake, hataki kuona hoja ya kwamba kuna wabunge ndio mara ya kwanza wanakutana na haya mambo. Ilimradi yeye ana taarifa nyingi kuhusu sheria zinazohusu eneo hilo anawaona wale ambao wanahitaji kutumia muda wa kutosha kuipitia na kuijadili, ni wapuuzi au wanaokwamisha? 2. Zitto anafahamu kwamba Kamati nyingi zilizoundwa zilikuja na mapendekezo ambayo mengi yameingizwa kwenye miswada iliyowasilishwa bungeni, lakini anataja Kamati ya Bomani peke yake (ambayo yeye alikuwa mjumbe) kuwa mapendekezo yake yameingizwa kwenye miswada hiyo!Zitto anajielewa sn,ila inatakiwa ifike mahali watanzania tufanye utafiti na kusoma vitu kwa undani kuliko kusoma heading na kutoa conclusions. Ukiiangalia miswada pendekezwa na ukaisoma,kama kweli unauchungu na nchi hii na unaitakia mema nchi yetu kwa kizazi hii na kizazi kijacho basi unapoipinga utakuwa unaajenda yako mwenyewe ambayo mtu mwenye akili timamu yeyote atakushanga..
Ukiangalia miswada hii imebeba mapendekezo yote ya kamati zote ambazo ziliundwa kuchunguza suala la madini mpaka hii ya juzi iliyoundwa na Mh Rais Magufuli..
Nikweli tunaweza kuwa na sheria mzuri lakini viongozi wenye dhamana wakatuuza pia, Ila ni Bora zaidi kuwa na sheria kali ambazo zitawabana viongozi kuliko sheria dhaifu zenye mianya mingi ya upigani..
Asante...Ni maoni yangu nawala si msimamo wa mtu yeyote..
Huwa anajipambanua Kama mtu makini lkn hakuna kitu. Anatamaa ya pesa na umaarufu na Hana msimamo katika maamuzi. Ni dharura gani inayofanya sheria hizi zibadilishwe haraka haraka,kwanini usitolewe muda wakutosha zikapitiwa na kuboreshwa zaid (Kama ni bora). Huyu alipokuwa PAC ndipo nchi hii iligeuzwa shamba labb haswaa na hakusimama kidete kulikomboa taifa zaidi ya kutafuta umaarufu binafsi!Ulipendekeza aelekee wapi ili uone anamuelekeo mzuri?
Huwa anajipambanua Kama mtu makini lkn hakuna kitu. Anatamaa ya pesa na umaarufu na Hana msimamo katika maamuzi. Ni dharura gani inayofanya sheria hizi zibadilishwe haraka haraka,kwanini usitolewe muda wakutosha zikapitiwa na kuboreshwa zaid (Kama ni bora). Huyu alipokuwa PAC ndipo nchi hii iligeuzwa shamba labb haswaa na hakusimama kidete kulikomboa taifa zaidi ya kutafuta umaarufu binafsi!
inaonesha ww ni kibaraka Wake nahivyo huwezi kuona chochote kwakuwa amekulefya...pole
Mbona Comment ya kijinga!Umetoka kwenye ban.
Swissme
Umemuelewa alichoeleza hapa au umependa kutuonyesha tuone upande ulipo?
Wewe ulitaka asemaje?
ACT ni chama kinachojitambua na kina watu makini, huwezi fananisha na hao unaowaamini wewe.
Nyie huwa hamchelewi kumvua MTU gwanda akiwapinga, so mulisema zitto kamanda mzuri?
Je Wewe uliye Upande wa Ma Chadema yako, ulishahoji juu ya Uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa "mabebi" ?
Sijawahi. Je huo ndio ufafanuzi wa Zitto juu ya uteuzi wa Mwenyekiti wa Chama chake kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro?