Zitto apingana na Mnyika na Lema

Zitto apingana na Mnyika na Lema

Wewe ulitakaje?
Atauficha uso kwa wale wenye upeo mdogo wa uelewa, lakini kwa watu makini tumemuelewa vizuri sana.
Yupo makini sana.

Zitto ataficha wapi uso wake?[/
QUOTE]
 
Wakati mwingine siwashangai ccm wanavyotuita NYUMBU.
sasa hapa Zitto kakosea nini?

Hongera mkuu wa kuwaambia fact.
Usiseme Zitto apingana na Mnyika na Lema, bali sema Lema na Mnyika wapinganana na Zitto!! Maana Zitto mmoja ni sawa na Kamati kuu yote ya CDM
 
Unafaham kilichoandikwa kwenye ilani ya ACT wazalendo?
Wewe ulitaka asimamie wapi kama siyo kile kilichopo kwenye ilani ya chama chake?

Nilikuwa sifaham kwanini madiwani wanajiuzulu kule Arusha sasa napata picha.
Zitto ni kati ya wanasiasa vuguvugu nchi hii sijawah ona....

Jamaa anakaa katikati siku zote kama popo....

Kwamba huo mswada wa madini kwa dharura ndio utakao okoa mashimo yaliyobaki tupu na ukiwa sheria hapo hapo yatajaa dhahabu?
Haya madinu yakiwa yanazungumziwa utadhani watakaochimba ni wananchi...
Uende ukawaite mabeberu hayo hayo yaje yachimbe na wawapangie bei.....waaoh.!
Kiukweli mihemko ya nationalism kwa sasa haina tija yeyote zaidi ya kutafuta kiki za kisiasa...
Huyo Zitto ni mnufaikaji mkubwa wa haya mambo na leo anasema taifa limepata mkombozi..
Hongera wakombozi
 
Zitto ni mwanakitengo idara ya economic sabotage .
Tatizo lenu huwa mnapiga kelele sana kuhusu Demokrasia lakin inaonekana hamjui Maana yake!

Msikariri kuwa Mzalendo au Upinzani ni kufanana Mawazo!

Sio kila Mwenye Mawazo Tofauti na yenu Maana yake kanunuliwa

Zitto kaweka hoja zake ziwe sahihi au laa, jukumu lenu ni kupinga kwa hoja sio vihoja
 
Hata mimi nawashangaa.
Hivi watu huwa wanasikiliza kinachozungumshwa au wapo kwa ajili ya kumkosoa yule wasiomtaka wao.

AKILI NDOGO BWANA MBAYA SANA.
Kwani hapo amepinga au ametoa mawazo ya chama chake? Naona mmebeba heading tu bila kusikiliza alicho sema.
 
Kuna watu kazi yao ni kuchukia/ kupinga kila kitu, si kwamba vyote ni vibaya, lakin kwa sababu mtu/chama flan kasema au kafanya, Mungu tubariki wazidi kuumia zaidi.
 
Wapuuzi tu.
Wanauzaririsha upinzani.
Kuna watu kazi yao ni kuchukia/ kupinga kila kitu, si kwamba vyote ni vibaya, lakin kwa sababu mtu/chama flan kasema au kafanya, Mungu tubariki wazidi kuumia zaidi.
 


Mimi nina Swali, Je miswada hii ikipita Bungeni den Rais akisaini kuwa Sheria. Je Mikataba yote iliyoshasainiwa itafanyiwa marekebisho au kusainiwa upya? Au ndio Sheria inaanzia siku ikisainiwa. So Makaburi hayafukuliwi?
 
Back
Top Bottom