- Thread starter
- #21
Kama wanacmkeka katika hoja hii, basi hao sio watu. Ni mamba wala watu.ila Zambi anayeomba rushwa ndio shujaa wako. Nasema hivi kuwa Mwana CCM lazima akili ziwe kwapaniZitto Muongo Mkubwa Umeshatajirika Kwa Pesa za Kifisadi, na zile ulizokomba katika Uenyekiti wa Kamati Kubwa ulioiongoza Bunge lililopita Mbona hujazirejesha, wacha siasa za Kitoto weee Watu Wanakuchekaaaaaaa