Nimemsikia Zitto Kabwe akiongea na BBC. Anasema msimamo wake upo palepale hatasaini karatasi ya mahudhurio, hatapokea posho na yupo tayari kurudi kijijini kwake kuvua dagaa baada ya kufukuzwa ubunge.
My take: Kwa hali ilivyo sasa ni wazi msimamo huu unaelekea kuungwa mkono na wananchi wengi. Najiuliza sana sipati jibu, mimi ambaye mshahara wangu unaisha baada ya siku 10 hizo bilioni 900 zinapotea kwa ajili ya posho zinanifikia kweli? Tafakari
My take: Kwa hali ilivyo sasa ni wazi msimamo huu unaelekea kuungwa mkono na wananchi wengi. Najiuliza sana sipati jibu, mimi ambaye mshahara wangu unaisha baada ya siku 10 hizo bilioni 900 zinapotea kwa ajili ya posho zinanifikia kweli? Tafakari