mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,544
Andiko lake FB
"Uamuzi wa Bodi ya Rufaa za kodi kuhusu Kampuni ya African Barrick Gold ( ABG) ni uamuzi utakaokuwa na mafanikio makubwa kwa nchi. Wawekezaji waliokuwa wanaumia njia za kihasibu kukwepa kodi Tanzania wataminywa na itabidi wafikiri mara mbili. Hukumu hiyo inayotupa tshs 82 bilioni itatupa mabilioni mengi zaidi kwani sasa itakuwa ' a precedent'. Inajibu swali muhimu sana kwenye kodi za kimataifa ' Kwanini Kampuni yenye kuzalisha mapato Tanzania ilipe kodi nje ya Tanzania'. Tunaita ni BEPs ( Base Erosion and Profit Shifting) katika lugha ya harakati za kupinga ukwepaji kodi kutoka nchi zinazoendelea.
Nitakuwa mwizi wa fadhila nisipomshukuru Rais John Pombe Magufuli kwa kuwezesha kuharakisha kesi za kodi. Uamuzi wake huo umesaidia nchi sasa na baadaye kwenye masuala ya ukwepaji kodi"
"Uamuzi wa Bodi ya Rufaa za kodi kuhusu Kampuni ya African Barrick Gold ( ABG) ni uamuzi utakaokuwa na mafanikio makubwa kwa nchi. Wawekezaji waliokuwa wanaumia njia za kihasibu kukwepa kodi Tanzania wataminywa na itabidi wafikiri mara mbili. Hukumu hiyo inayotupa tshs 82 bilioni itatupa mabilioni mengi zaidi kwani sasa itakuwa ' a precedent'. Inajibu swali muhimu sana kwenye kodi za kimataifa ' Kwanini Kampuni yenye kuzalisha mapato Tanzania ilipe kodi nje ya Tanzania'. Tunaita ni BEPs ( Base Erosion and Profit Shifting) katika lugha ya harakati za kupinga ukwepaji kodi kutoka nchi zinazoendelea.
Nitakuwa mwizi wa fadhila nisipomshukuru Rais John Pombe Magufuli kwa kuwezesha kuharakisha kesi za kodi. Uamuzi wake huo umesaidia nchi sasa na baadaye kwenye masuala ya ukwepaji kodi"