Kila jambo tujaribu kulipa muda, Zitto sasa anaonekana vema.
Kiongozi yeyote bora huwa hakurupuki, bali hutafiti kwa kina japo jamii huwa na hamu/shauku ya kuona na kusikia tamko toka kinywani mwa mkuu fulani.
Nakupongeza Mh.Zitto kwa uyafanyayo, Mola muweza akuongezee HEKIMA, SUBRA & UPEVU wa mambo.
Keep it UP.
Mpevu.