Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
Zitto hana ushahidi wa kumtia hatiani Henry Kilewo, hiyo ni kutapa tapa maana hicho anachokilalamikia hakionekani.
Kwani wewe ndiyo unatafsiri sheria au wewe ndiye mpelelezi polisi na mahakama ndiyo watatoa ufafanuzi juu ya haya mambo wewe kula ndizi na kahawa tu huko machame.
 
Hii sasa itamuondoa bwana Zitto kabisa kwenye siasa za Tanzania,

Namuonea huruma sana kwani ataumbuka zaidi, ni heri atafute mshauri katika suala hili lakini kukimbilia polisi ni kukaribisha mauti ya kisiasa.



Wewe sasa yaweza kuwa kweli mnafiki,huyu traitor,na ushahidi uliweka (kama wa kweli) unamuhisi anataka kukuua!!!!!
Leo unamuonea huruma?????!!!Kabisa?????!!!!!

Nilitegemea ungekuwa na furaha ya msaliti kuteketea!!!!
 

Kwi kwi kwi teh teh teh

Kimenuka. Yericko Nyerere na Ben Saanane jiandaeni.
 
Last edited by a moderator:
Hii sasa itamuondoa bwana Zitto kabisa kwenye siasa za Tanzania,

Namuonea huruma sana kwani ataumbuka zaidi, ni heri atafute mshauri katika suala hili lakini kukimbilia polisi ni kukaribisha mauti ya kisiasa.
Sio rahisi kama upeo wako unavyofikilia,siasa is more than jf comments,siasa ni vitendo
ACTIONS SPEAKS LOUDER THAN WORDS.....
 
Hii sasa itamuondoa bwana Zitto kabisa kwenye siasa za Tanzania,

Namuonea huruma sana kwani ataumbuka zaidi, ni heri atafute mshauri katika suala hili lakini kukimbilia polisi ni kukaribisha mauti ya kisiasa.

Jitayarishe uende ukasema ule uzi uliounzisha JF wa tuhuma kwa Zitto chanzo chake ni wapi. Au uliutunga mwenyewe?
 
Last edited by a moderator:
 
Kwani wewe ndiyo unatafsiri sheria au wewe ndiye mpelelezi polisi na mahakama ndiyo watatoa ufafanuzi juu ya haya mambo wewe kula ndizi na kahawa tu huko machame.

Hawa jamaa wanajichora sana,hawajui wanaongeza hisia za ukabila chadema,they better stay quit
 
Hii sasa itamuondoa bwana Zitto kabisa kwenye siasa za Tanzania,

Namuonea huruma sana kwani ataumbuka zaidi, ni heri atafute mshauri katika suala hili lakini kukimbilia polisi ni kukaribisha mauti ya kisiasa.
Tulizana wewe subiri kwenda segerea Zitto hawewezi kutaka huruma kutoka kwako, teh teh teh kumekucha.
 
Hii sasa itamuondoa bwana Zitto kabisa kwenye siasa za Tanzania,

Namuonea huruma sana kwani ataumbuka zaidi, ni heri atafute mshauri katika suala hili lakini kukimbilia polisi ni kukaribisha mauti ya kisiasa.

....CHADEMA ni mpango wa Mungu
 
Kwani wewe ndiyo unatafsiri sheria au wewe ndiye mpelelezi polisi na mahakama ndiyo watatoa ufafanuzi juu ya haya mambo wewe kula ndizi na kahawa tu huko machame.

Hujakosea, maana bado tunasherekea uamuzi wa haki wa kamati kuu wa kuwafukuza wasaliti na wahaini, uamuzi ambao ccm hawathubutu kuufanya japo lichama lao limekaribia kuzikwa na ufisadi, wizi, ujangili, ugaidi na ubakaji wa watoto yatima
 
Jela zipo kwa ajili ya watu kama kileo,mjela jela siku zote panapomfaa ni jela tuh
 
people HATE each other because they don't know each other, they don't know each other because they do not communicate, and they do not communicate because they are separate.
YOU GUYS HATE ZZK BECAUSE YOU DON'T KNOW HIM.
 
usimchokoze kamanda Ben,ana ushahidi mtamu zaidi ya sms ya mpesa.Zitto anasubiriwa kwny mahakama ya wananchi


Ndio maana nimemwomba japo kidogo afafanue,mgao ule alienda kumlipia Zitto gharama ya kurekodi ule wimbo wa leka dutigite au vocha??!!

Kuna watu mi naonaga kero saana kuambiwa ni wasomi na wanaaminiwa,wakati ukiwatazama hata kwa kauli tu bila matendo unawaona upstairs ni hovyo na bora darasa la 7 kuliko PhD na masters zenye upogo Bali zinabebwa na publicity plus watawala!!
 
Kwani wewe ndiyo unatafsiri sheria au wewe ndiye mpelelezi polisi na mahakama ndiyo watatoa ufafanuzi juu ya haya mambo wewe kula ndizi na kahawa tu huko machame.


....ha ha ha ha yaani jamaa mpaka kakimbilia polisisisiemu
 
Tulizana wewe subiri kwenda segerea Zitto hawewezi kutaka huruma kutoka kwako, teh teh teh kumekucha.


Huyo mtu siku hizi hana tena thamani,mimi nikimuona humu ndan huwa nacheka sana,

Amedharaulika JF,amedharaulika mtaani anakofanya utapeli,na amedharaulika hadi pale UFIPA

Ni wa kuhurumiwa tuh
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…