Zitto alivyozomewa Mbeya Mjini

Status
Not open for further replies.
Wakuu tuachane na habari ya kuzomewa Zitto ni fundi bungeni tu majukwaani hana hoja ni mweupe mno je mnaosikiliza hiyo video mtabisha huyo sio zitto? Anachoongea hapo ni kitu gani hata kama wewe ni mshabiki wake mbona mweupe hivyo natokwa mapovu ? Hadithi zake zinawinda wapinzani utafikiri ndio wenye dola? anazijua shida za wanachi majisifu na kuponda wenzie. Hivi mbona wapinzani tunamheshimu Mtikila Makaidi, hata Cheyo na madhaifu yake Kina mbatia. Marando kina Mapalala , Kweli Mbowe ulimgroom mtu dhaifu kabisa ,zitto ndio ameshindwa kujieleza kiasi hiki anakoroma jukwaani?
 
Ataandika kwenye Tweet kama jana , kuwa hajawahi kufanya mkutano wa hadhara Mbeya , kama alivyosema jana kuhusu Tunduma .

Halafu baada ya kuandika wewe na chadema yako mtakuwa mmepata kitu gani? Ujuha nao kipaji
 
kwahiyo adui yenu sio CCM tena,,, sasa mnapambana na ACT.. CCM itatawala mpaka Yesu arudi!!!!!!
 
anapinga matmizi ya mashangingi hadith gani hizi-shangingi la mbowe la kiongozi wa upinzani ndio hoja hiyo hapingi dangote kupewa heka 2500 mtwara , hagusi escrow hela za usws haigusi ccm hata chembe japo kinafiki anakomaa na mbowe asipobadilika ataumbuka maana jamaa wakianza kumjibu itakua mbaya zaidi
 
kwahiyo adui yenu sio CCM tena,,, sasa mnapambana na ACT.. CCM itatawala mpaka Yesu arudi!!!!!!

kwani yeye na act yake ni chama tawala au mpinzani? maana UKAWA inapambana na CCM na mazalia yake
 
Dhambi ya usaliti ina tabia moja mbaya sana , huwa inamuandama mtu mpaka kiama ....
 
Acha Upuuzi wewe,

CHADEMA inaingiaje hapo?
 
Nimecheka sana Ahahaha sasa hawa makamanda wanajikusanya wao na simu yao ya Tecno wanachukuwa video huku wanapiga kelele Zitto yupo mita mia wala hana habari nao.

Chadema wameishiwa vibaya sana daah sasa hivi sera yao ni kuzomea.
 
Last edited by a moderator:

Nailed it
 
Na wewe acha uwongo wako hapa. Nani ambaye hawezi kuona kwmba mkutano hauna utulivu hata kidogo? Hizo kelele ni za watu watano? Mnadhani watu wote ni wasanii kama yule mzee wenu anayewalipa fedha watu wakamshawishi na kumshangilia wakati kila mtu anajua nautolea mate uraisi tangu 1995?

Kama mpiga picha angelikuwa analengo la kuwapnga watu, angewapanda wakati wa kurecord? Ubishi mwingine ni kujidhalilisha.


 

Wakikua wataacha
 
mkuu sikatai kuwa wewe ni swahiba wa Zito lakini hii ya Mbeya mjini iko very clear!alizomewa na kuambiwa msaliti!
 
Makamanda tumebakiza miezi mitatu kuingia kwenye uchaguzi acheni kujitekenya na kucheka wenyewe tutumie muda wetu kujenga chama chetu cha Chadema.
 
Katika hii video nimegundua hivi,
1.Wanaopiga kelele ni ka section flani ka watu wasiozidi kumi ambao inaonekana walijipanga(unaweza kusikia mmoja anamwambia mchukua video "kasimamie huku")
2.ZZK yuko distance ya mbali ambako inaonekana mkutano ukiendelea na watu wakisikiliza.
3.Kwa haraka haraka nimemsikia ZZK akisema "tunailaumu serikali kwamba wanatumia mashangingi kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni naye anaendelea kutumia kwa hela hizohizo za serikali nani Msaliti?" This is very sensible,unatakiwa upinge kitu sio kwa mameno bali kwa vitendo,ifike kipindi wananchi waamke Chadema ni scam,hakuna mwenye nia ya kweli kutoka Chadema wa kutaka kumkomboa mtanzania,hayo yanajidhihirisha kwa vitendo vyao.
 
Hoja ni kuzomewa hayo ya idadi na Umbali aliokuwamo hukuondoi Ukweli kuwa alizomewa,

Pia kauli zake Dhidi ya chadema wakati wakuzomea ni dhihirisho la kilichopelekea yeye kuzomewa.
 
Last edited by a moderator:

Naona Hadi Youtube imefutwa.
Yuda ni Mtu hatari sana
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…