kifrogi
Member
- Jun 8, 2011
- 42
- 22
Mbubge wa MwibaraN Mh Lugala ameichana chana serikali ya chama chake kwa kutaka kuiibia nchi kwa kuiingiza CHC kwenda TR na kuifanya isiwajibike wakati TR hawajui hata mashirika mangapi yako chini yake na wala hawana cerificte zake. Moto umewaka sana na sasa Hamad Rashid wa CUF anaendelea kurusha madongo kwa serikali. Baraza la mawaziri limeumbuka na Mkullo anaabgalia chini na koti linampwaya kwa aibu!
Huyu si CCM B?