Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Afanye booking ujermany mapema asije kosa ubunge akakosa na kazi za vibarua ujerumani
siasa kazi kweli kweli
Huyu lazima arudi ujermany akasafiche vyoo vya mawaziri asubiri moto wa ccm mwaka huu
Are u great thinker or great sinker.
Wewe usiyekuwa mbunge unafanya kazi vibarua nchi au unasafisha vyo vya mawaziri wa wapi? Hizi ni pumba tena pumba amabazo hata kitimoto hali
------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Na hii habari kama ni kweli basi anachoshangaa zitto sio cuf kumpokea huyo Dunia nahika kinachomstajabisha na kumtia wasi wasi ni probability yake ya ushindi kuzidi kupungua. Zitto hiyo ndo siasa utakuwa shujaa zaidi ukiwashinda wote wawili.