Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
Na ashindwe na kulegea huyo zitto
MGOMBEA ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe anakabiliwa na upinzani mkali kutoka vyama vya CCM na CUF huku yeye mwenye akijibu mapigo akisema mkakati huo wa CUF unalenga kuudhoofisha upinzani na kuipa ushindi CCM.
CUF ilitangaza mkakati wake huo juzi na kumtambulisha Omar Musa Nkwarulo maarufu kama Dunia, ambaye atamvaa Zitto katika Jimbo la Kigoma Kaskazini.
Lakini Zitto jana alisema "Nimeshangaa CUF kumpokea Dunia na kumsimamisha kugombea ubunge Kigoma Kaskazini."
"Huyu hajawahi kuwa mpinzani wa kweli, niliwapigia kabla (Profesa Ibrahim) Lipumba, (Ismail) Jussa na Maalim Seif kwamba, huyu si mpinzani wa kweli, lakini nimeshangaa wamempokea na kumsimamisha. Naamini bado ana damu ya CCM.
.Kama kweli Zitto kasema hivyo basi ni kioja kikubwa na kashfa ingine kwa wapenda demokrasia na ni uvunjaji wa wazi wa katiba yetu hasa provision isemayo "kila mtu ana haki ya kuchaguwa na kuchaguliwa"
By the way kama Dunia aliye mgombea wa CUF ana 'damu ya CCM' vipi kuhusu wagombea wa CHADEMA waliotoka pia CCM kama akina Thomas Nyimbo,Ngwatura,Shibuda na wengineo wengi akiwemo hata Ntagazwa aliyewahi hata kuwa Waziri ktk serikali inayoundwa na chama cha CCM?
inategemea makubaliano yao kablaKama anajiamini kwa nini analalamika. Ajipange kwa kampeni na kutangaza sera za chama chake
Hayo ni majibu ya CUF kwa Chadema, baada ya Chadema kumsimamisha Slaa kwenye Uprezinategemea makubaliano yao kabla
inawezekana kabisa palikuia na makubaliano ya siri kwenye baadhi ya majimbo ndani ya upinzani... hakuna haja ya kuleta mpinzani sehemu ambapo mpinzani toka chama kimoja anaonekana ana nguvu
Hata siku moja wapinzani hawafika mbali kwa kupambana wenyewe kwa wenyewe....
Mzee Ngabu, tema mate chini ndugu yangu, kwa nini? Au ni agemate wako, maana agemates ukimzidi jua hapo kuna uadui tayari. Mimi nampenda sana huyu Bwana mdogo, anafanya kazi nzuri sana. Au wewe unataka wapinzani wazee kama akina Cheyo na Mrema?Na ashindwe na kulegea huyo zitto
MGOMBEA ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe anakabiliwa na upinzani mkali kutoka vyama vya CCM na CUF huku yeye mwenye akijibu mapigo akisema mkakati huo wa CUF unalenga kuudhoofisha upinzani na kuipa ushindi CCM.
CUF ilitangaza mkakati wake huo juzi na kumtambulisha Omar Musa Nkwarulo maarufu kama Dunia, ambaye atamvaa Zitto katika Jimbo la Kigoma Kaskazini.
Lakini Zitto jana alisema "Nimeshangaa CUF kumpokea Dunia na kumsimamisha kugombea ubunge Kigoma Kaskazini."
"Huyu hajawahi kuwa mpinzani wa kweli, niliwapigia kabla (Profesa Ibrahim) Lipumba, (Ismail) Jussa na Maalim Seif kwamba, huyu si mpinzani wa kweli, lakini nimeshangaa wamempokea na kumsimamisha. Naamini bado ana damu ya CCM.
Kipi kinachokufanya upate shaka?
HAwa wana mifupa ya CCM!Kama kweli Zitto kasema hivyo basi ni kioja kikubwa na kashfa ingine kwa wapenda demokrasia na ni uvunjaji wa wazi wa katiba yetu hasa provision isemayo "kila mtu ana haki ya kuchaguwa na kuchaguliwa"
By the way kama Dunia aliye mgombea wa CUF ana 'damu ya CCM' vipi kuhusu wagombea wa CHADEMA waliotoka pia CCM kama akina Thomas Nyimbo,Ngwatura,Shibuda na wengineo wengi akiwemo hata Ntagazwa aliyewahi hata kuwa Waziri ktk serikali inayoundwa na chama cha CCM?