Sasa hili ndiyo jibu cha waliokuwa wakiuliza ACT ilikuw Inapata fedha wapi?. Jibu ni kwamba kumbe ACT ilikuwa inakopa
Dhambi ya usaliti ni mbaya sana
Dhambi ya usaliti ni mbaya sana
Hivi uhuru bado kuna watu wanalisoma?Habari za ukweli hizo. Tanzania daima hawaandikagi habari za udaku kama gazeti la uhuru
Hivi uhuru bado kuna watu wanalisoma?Habari za ukweli hizo. Tanzania daima hawaandikagi habari za udaku kama gazeti la uhuru
Nani kakudanganya kuwa Mbowe kafirisika?~~~>>>@Zitto anafuata nyayo za Mbowe kama alivyofirisiwa........
Wasiwasi wangu ni kwa vijakazi wake kina mcubicMwanampotevu atarudi nyumbani kwa wazazi na kusamehewa makosa yake yote.
Wewe mwenyewe ndiye kiatu tena katambugaIlipofahamika kuwa Mbowe anadaiwa mabilioni alitetewa sana, leo Zitto anadhihakiwa, japo bado ni tetesi. Hakika nimeamini cdm kuna watu na viatu.
Wewe njaa inakusumbua sanaAnafilisiwa na Mbowe? Haya magazeti ya kufungia maandazi bora yafutwe tu.....
Wewe utakuwa ni mwana mwandiga tuWanamsema Zitto ili kuhalalisha kufilisiwa kwa bosi wao Mbowe, kwamba mbona hata Zitto kafilisiwa.
Ila kwa ninavyojua, Zitto ni mwanasiasa msomi, mchumi na mwelewa. Anajua anachofanya.
Tatizo hata kuandika kwako ni shida waombe maccm wakupe tuition ya kuandika~~~>>>@Zitto anafuata nyayo za Mbowe kama alivyofirisiwa........