Zitto, ACT Wazalendo hatarini Kufilisiwa

Zitto, ACT Wazalendo hatarini Kufilisiwa

Mzito Kabwela

Platinum Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
18,908
Reaction score
7,751
IMG_20161227_051122.jpg
 
Habari za ukweli hizo. Tanzania daima hawaandikagi habari za udaku kama gazeti la uhuru
 
Wanaaanza lini kumfilisi? Wakianza wiki hii pia sio mbaya,serikali ya sasa hivi hawachelewi sana katika utendaji wa kazi.
 
Mwanampotevu atarudi nyumbani kwa wazazi na kusamehewa makosa yake yote.
 
Sijaelewa ACT WAZALENDO inafilisiwa vipi? Je chama kilikuwa na mkopo bank kimeshindwa kurejesha?
 
Back
Top Bottom