Zitto, ACT Wazalendo hatarini Kufilisiwa

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,614
IMG_20161227_051122.jpg
 
Habari za ukweli hizo. Tanzania daima hawaandikagi habari za udaku kama gazeti la uhuru
 
Wanaaanza lini kumfilisi? Wakianza wiki hii pia sio mbaya,serikali ya sasa hivi hawachelewi sana katika utendaji wa kazi.
 
Sijaelewa ACT WAZALENDO inafilisiwa vipi? Je chama kilikuwa na mkopo bank kimeshindwa kurejesha?
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom