Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 1,620
- 2,634
Mnamtukana akijibu mnalia! Nyambaff! Ndio maana Arusha ya Wamasai inaongozwa na watu wakuja!
mbowe alihongwa milioni 100 rostam
mbowe alihongwa milioni 100 rostam
Nasikia ile post Original aliichakachua baadae, mwenye nayo aitupie hapa, hii haijatulia kabisa!
Mnamtukana akijibu mnalia! Nyambaff! Ndio maana Arusha ya Wamasai inaongozwa na watu wakuja!
mkuu tuwe fair,mbona madai ya zitto mbowe hajakanusha?1.Zitto ana mtoto aliyezaa nje ya ndoa!
2.Kuhongwa kwa Mbowe HAKUMHALALISHII yy pia kuhongwa
3. Kama madai ya Lissu ni ya uzushi aende Mahakamani
AMA KWELI FADHILI MBUZI UTAMLA NYAMA.............
Nampa pole sana Mh Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema Taifa kwa kutukanwa na kukosewa adabu na kijana mdogo, Msaliti Zitto Kabwe, ambaye leo mafanikio yake yametokana na yeye Mh Mbowe, lakini kasahau na kaamua kukutuna ati wewe ndo kamati kuu!
vile vile nimpe pole Mh Tundu Lissu Mbunge wa Singida mashariki na Mwanasheria wa chama, kwa kuitwa Kifaranga na huyu kijana ----- asiye na Adabu, we mpuuuze kwani leo amewadhihirishia watanzania kuwa hafai hata kuwa Balozi wa nyumba kumi......
Zitto Z Kabwe mpaka sasa hujakanusha tuhuma za kweli kabisa kwamba ulihongwa Magari mawili na Mh mkono iliusimsimamishe mgombea Msoma Vijijini, badala yake uliishia kujitoa ufahamu na kuwatukana Viongozi mtandaoni kuonyesha ulivyofilisika mawazo kama si kufilisika hoja!
Zitto Kabwe amejitoa ufahamu na kudai eti mtu asiyemuheshimu mke wake aliyewazalia watoto wake hawezi kumfundisha mtu maadili.......
Zitto, kabla ujanyoosha kidole kwa mwenzako embu jaribu kujitazama wewe mpaka leo una umri miaka 37 umeshindwa kuoa, na kinacho kusumbua ni uzinzi, embu kumbuka April tukio la aibu ulilolifanya pale Mount Meru Arusha, baada ya kunywa KONYAGI, mbona sisi hatusemi..........
Si jambo jema kujadili misha ya Binafsi ya Kiongozi, kwani hakuna aliye mkamilifu Chini ya Jua.......
SI VEMA MAAMUZI YA KAMATI KUU KUMBEBESHA MH MBOWE NA LISSU PEKE YAO..
mkuu tuwe fair,mbona madai ya zitto mbowe hajakanusha?
matusi ya zitto ni yapi kusema kwamba hao viongozi wake waliongwa au kumsema mbowe amueshimu mkewe..leo mkuki kwa nguruwe eeeh anavyotukanwa kikwete matusi ya nguoni hayaonekani..hao leo waloamua kumwaga ugali mwenzao kamwaga mboga imekua matusi duuh
mbowe alihongwa milioni 100 rostam
aaahaaaa mbowe alozaa na mbunge wake ni wa ndani..wote ni wapiga dili tu ..sio akanushe zitto tu hata uyo mbowe nae akanushe1.Zitto ana mtoto aliyezaa nje ya ndoa!
2.Kuhongwa kwa Mbowe HAKUMHALALISHII yy pia kuhongwa
3. Kama madai ya Lissu ni ya uzushi aende Mahakamani
Mbowe hakuongwa bali alikuwa akichangisha hela za kampeni.....zitto ana tapata tapata....tu