Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe...

Status
Not open for further replies.
Mkuki kwa nguruwe sio??

Mwenyekiti CHADEMA anatia aibu,aje akanushe tuhuma zake sasa na yeye

Tundu lisu anacheza ngoma ambayo haijui,wanamtanguliza tu kichwa kichwa yeye hajui kama anajidhalilisha!

Ni ujinga mtu mwenye elimu kama ya tundu kupelekwa pelekwa na kujazwa uongo na mbowe...

Mbowe atoke atuachie chama chetu alishashindwa kabla hajaanza

Na Dr Slaa ajiangalie naona anapotea taratibu

Chama cha wachaga iweje leo uachiwe wewe mmatumbi?

CCM ndio chama cha wote nenda huko.
 
Milya wewe ni bora ukae kimya kwakua wewe kwa ZZK ni mdogo sanaaaa kuliko kifaranga cha kuku,
Mtu hawezi kuonewa kisha akawachekea,tatizo lako umeshikiwa akil.... na hao madhalimu,yapo mengi yanakuja dhidi ya hawa matapeli kwa raia masikini wa tz,matapeli wanaojivisha ngozi ya kondoo kumbe ndani mbwa mwitu wakali,kwa sasa ukimya hautokuepo tena na ni lazima watz wafunguliwe masikio.

zitto ana ukubwa gani?
 
Ndani ya chama kunakitu kimekosekana, nacho ni kuheshimu katiba ya chama, na haya ndio matokeo yake.
Hilo la kutoheshimu katiba ni matokeo ya ufisadi. Mtu akiwa fisadi usitegemee atafuata katiba, sheria na miongozo ya chama
 
Yaani nilidhani Dr Slaa kwa vile amefanya kazi za kiroho atakuwasi fisadi. Nimeshangaa sana kuona na yeye ametumbukia kwenye dimbwi la ufisadi na uzinzi
 
huko kuna ushindani wa nani anapiga bingo zaidi hakuna aliye safi
Sasa kama wanashindana kupiga bingo ndaninya chama, je tukiwapa nchi si watagawana mpaka mapori yote tengefu, mbuga kama za selous na hifadhi za taifa zote zi watagawana?
 
Tumieni huu mda vizuri kuijadili CDM. Kesho tu tukianza bunge la katiba mtasahaulika...
 
Sasa kama wanashindana kupiga bingo ndaninya chama, je tukiwapa nchi si watagawana mpaka mapori yote tengefu, mbuga kama za selous na hifadhi za taifa zote zi watagawana?

chadema ni kampuni na si chama cha siasa, mara nyingi nimekua nikiwashauri wabadili usajili na kwenda brela bado wanakua wagumu kufanya hivyo, si sahihi kabisa kuipa kampuni ya watu binafsi nchi, ni hatari
 
Tumieni huu mda vizuri kuijadili CDM. Kesho tu tukianza bunge la katiba mtasahaulika...
Hatutaacha kujadili chadma hasa katika kipindi hiki ambapo chama kinaongozwa namtu asiye na sifa hata kidogo
 
chadema ni kampuni na si chama cha siasa, mara nyingi nimekua nikiwashauri wabadili usajili na kwenda brela bado wanakua wagumu kufanya hivyo, si sahihi kabisa kuipa kampuni ya watu binafsi nchi, ni hatari
Mkuu, nakushukuru sana. Hakika hata sifa ya kuwa kampuni hawana kwa vile wanavuruga mpaka taratibu walizojiwekea. Labda wabadili jina na kijiita kikoba
 
Payment of 40,000.00 TSH to TANESCO. Voucher 54478938973469692623.
Energy Received: 89.10 KWHR. Metre No:

Badala ya kujadili mambo muhimu kama haya ya Kudhurumiwa na Tannesco mnaleta Hoja zisizo na Tija kwetu, Kutoka Unity 131 kwa Tsh 40,000/= hadi unity 89.10.
 
Naona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha.

Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa.

Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?

Hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?

Hakika sikutegemea kuona Zitto anakuja low this much pamoja na kwamba niliamini ni mjinga , mjivuni , limbukkeni, ambaye Elimu yake si msaada .Zitto kwa tuhuma alizozitoa kwa Mbowe kweli nimeshagaa sana .Zitto aliuwa wapi kuyasema haya ? Zitto hata mimi menyewe najua ulipewa magari na mkono na ukaja nayo Kigoma na mojawapo ni double cabin mpya .Zitto kabla ya kumtukana Mbowe na kuzusha tueleze kwanza kama hukupewa magari watu waweke ushahidi .Kkwa ajili yako ndogo Mkono amekuwa wazi na alisema hili si mara moja kwamba anataka Chadema iwe na nguvu .Kwa mfano hawakuwa na Mbunge kwenye eneo lakini in the open alipigia kampeni Chadema kwa kuona wagombea wa CCM hawakuwa na sifa .Alisema in the open leteni watu wa kuwatetea kwenye halmashauri .Zitto ametoa tuhuma ambazo baada ya hili kuisha hajui kwamba atakuwa haaminiki tena .Kwa akili matope hii nani wa kukuamini tena siku za usoni maana sote tunajua tutaenda facebook na Twittere kusema tu .Haya umesha toa tuhumaweka ushahidi sasa ili uaminiwe .Ulianza kumchafua Slaa na diliza Lowasa ukaona hazina mashiko umeanza haya .Aibu yako na utashangaa Dunia .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom