Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,020
- 94,657
Mkuki kwa nguruwe sio??
Mwenyekiti CHADEMA anatia aibu,aje akanushe tuhuma zake sasa na yeye
Tundu lisu anacheza ngoma ambayo haijui,wanamtanguliza tu kichwa kichwa yeye hajui kama anajidhalilisha!
Ni ujinga mtu mwenye elimu kama ya tundu kupelekwa pelekwa na kujazwa uongo na mbowe...
Mbowe atoke atuachie chama chetu alishashindwa kabla hajaanza
Na Dr Slaa ajiangalie naona anapotea taratibu
Chama cha wachaga iweje leo uachiwe wewe mmatumbi?
CCM ndio chama cha wote nenda huko.