km alihongwa akajenga shule ni bora, kuliko kuhongwa suti au pesa za rada na kuweka kwenye akaunti binafsi.Hajaongelea ile kashfa yake ya kuhongwa mil 100 na Barricks na kujengewa shule ya sekondari jimboni?
Wewe wacha mambo yako hayo, ilikuja thread hapa ya hiyo Brick jamaa alijieleza vizuri tuu na shule alisema walitoa msaada kwa watu wa eneo hilo. Hiyo shule si ya Zito Kabwe ni ya serikali, huyo mbunge hana maslahi yoyote na hiyo shule labda kwa kusaidia maendeleo ya jimbo lake, upo????????Wana Igunga piga kura ya kujikonmboa chagua CDM!!!!!!!!!!!!Hajaongelea ile kashfa yake ya kuhongwa mil 100 na Barricks na kujengewa shule ya sekondari jimboni?
Hakuna mbunge msafi Tanzania. wote waganga njaa tu.
Bora liende.
Hongera Zitto
Hajaongelea ile kashfa yake ya kuhongwa mil 100 na Barricks na kujengewa shule ya sekondari jimboni?
Hajaongelea ile kashfa yake ya kuhongwa mil 100 na Barricks na kujengewa shule ya sekondari jimboni?
Hajaongelea ile kashfa yake ya kuhongwa mil 100 na Barricks na kujengewa shule ya sekondari jimboni?