ZITTO: 2012/13 Budget Participation

Wanajf toeni maoni basi mbona malalamika tu, mshikaji atajisikia vibaya sasa, yote yanayosemwa ni kweli ila tutoe maoni kuhusu hii bajeti ya mwaka huu basi. Kwaajil ya kumrekebisha zito tutaanzisha nyingine.

Anaweza kuangalia huu uzi, https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/263883-mgimwa-punguza-matumizi-ya-dola-za-marekani.html

NB: Next time akitaka maoni ya JF ni vema akaleta ombi lake JF. Kwa maoni yangu JF ina michango bora zaidi kuliko FB au michuzi.
 
I usually find myself in mysterious situation when I correlate the pase as which the national debt is growing and the amount and quality of social services offered by the government!what actually does the government do with this huge amount of money which we borrow from whoever??

Spending on whatever luxurious kinds of things it can do without.....tatizo kubwa ni overspending this government is spending more than what it earns and even the little we get from donors is still being put on non-productive areas and nobody can tell me that it is for public servants salaries...i will be damned because how the public servants survive only God knows....and not these wakurugenzis who care less about anybody apart from themselves!!! where does it go really??
 
I usually find myself in mysterious situation when I correlate the pase as which the national debt is growing and the amount and quality of social services offered by the government!what actually does the government do with this huge amount of money which we borrow from whoever??

If I were you, I could go further, government, individual and company do borrow money and they will continue to do so... the key question is where those loans are really invested... is it to ensure we support ourself in future or are they to finance recurring expenditure... the later is the only problem to me... the first is quite okay to me... so we should not discuss this things blindly.
 
Zitto: Mimi nina machache sana, tena sana.

1. Ni matumaini yangu kuwa vyama hivi vya upinzani vingeleta mwelekeo tofauti tuliozoea wa bajeti ya kubalance numbers... na kila mbunge akisimama anasema huko hela kidogo, huku nyingi... huu ni upotevu wa muda, wasema kwanza what needs to be done...
2. Kwa maoni yangu, upinzani unatakiwa kutuondoa kwenye mjadala wa kubalance bajeti na kwenda kwenye kujadili Annual Government Plan na 3 Years Government Plan.... meaning mfumo uwe... mwaka huu tunataka kufanya 1, 2, 3... etc.... ndio mwishoni tuseme how to finance those plans we want.
3. Ni aibu kubwa na kubwa sana kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ku-focus too much on Annual plan/budget badala ya ile ya 3 years plan... kama taifa litakuwa lina heshimu hii mipango ya miaka 3, 5 na vision 2025 tutaenda mbali... lakini hii mipasho ya annual budget it is real wastage of time... ingawa yes ni lazima pia iongelewe... lakini huwa mnaiiacha serikali inacheza na wabunge sana... maana you do not question it... why you do not follow the stragic plans....
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Zitto: Mimi nina machache sana, tena sana.

1. Ni matumaini yangu kuwa vyama hivi vya upinzani vingeleta mwelekeo tofauti tuliozoea wa bajeti ya kubalance numbers... na kila mbunge akisimama anasema huko hela kidogo, huku nyingi... huu ni upotevu wa muda.

2. Kwa maoni yangu, upinzani unatakiwa kutuondoa kwenye mjadala wa kubalance bajeti na kwenda kwenye kujadili Annual Government Plan na 3 Years Government Plan.... meaning mfumo uwe... mwaka huu tunataka kufanya 1, 2, 3... etc.... ndio mwishoni tuseme how to finance those plans we want.
3. Ni aibu kubwa na kubwa sana kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ku-focus too much on Annual plan/budget badala ya ile ya 3 years plan... kama taifa litakuwa lina heshimu hii mipango ya miaka 3, 5 na vision 2025 tutaenda mbali... lakini hii mipasho ya annual budget it is real wastage of time... ingawa yes ni lazima pia iongelewe... lakini huwa mnaiiacha serikali inacheza na wabunge sana... maana you do not question it... why you do not follow the stragic plans....
Kasheshe, tuna kitu kama miaka 13 imebaki tufikie 2025 (Vision 2025). Ili kufikia hiyo vision serikali ili-break down plans tukapata miaka mitano mitano na ndipo tukawa na kitu kinaitwa MKUKUTA. Sasa hivi tuko kwenye MKUKUTA 2. Wakati huo huo tunaambiwa kuna 2011-2015 development plan. (Personally sijaelewa kwa nini tuna mipango miwili yaani MKUKUTA na huu wa 2011-16). Lakini nimejaribu sana kupitia bajeti za wizara nyingi ni vigumu sana kujua kama we're on/off track kwa malengo ya Vision 2025. Na kama tuko off track, je, kwa muda huu uliobakia tunaweza
kurebisha mambo na kurudi kwenye mstari?

Kwa mfano, kama tulisema madini yachangie % ngapi kwenye GPD by 2025, sasa tumefikia wapi? Au tulitaka utalii au uvuvi, au kilimo kichangie kiasi gani by 2025 na sasa tuko on/off track? Kama tulisema tunataka tuwe na madaktari 5,000 sasa hivi tuna wangapi?

Sasa hivi serikali inakopa sana, kama sikosei govt ndio mkopaji mkubwa kwenye commercial banks zetu hapa nchini! Kukopa sio mbaya ila tatizo ni tunafanyia nini huo mkopo? Tunakopa kulipa mishahara ya watumishi na sio kugharamia miradi ya maendeleo. Huku ni sawa na mkulima kula mbegu! Deni la taifa tunaambiwa ni 22 trillion, wamefanyia nini hizi hela? Na nani atalipa? and how kama tunakopa kulipa mishahara?

Ndio maana unaona Mkullo alikabidhi bandari ya Mtwara baada ya kushindwa kulipa deni la ndege! Siku zote nimekuwa naamini matatizo mengi tuliyonayo yanasababishwa na bunge. Bunge limelea bajeti za kipuuzi, bajeti za mishahara na posho wa warsha.

Bunge linatakiwa lisome Vision 2025 na MKUKUTA na hii 2011-2016 na kuelewa kila neno, halafu kila wizara ilete mambo yanayoelewa, waeleze wamefanya nini inline na hizo plan na kama wamekwama kwa nini?
 
Last edited by a moderator:
Kasheshe, tuna kitu kama miaka 13 imebaki tufikie 2025 (Vision 2025). Ili kufikia hiyo vision serikali ili-break down plans tukapata miaka mitano mitano na ndipo tukawa na kitu kinaitwa MKUKUTA. Sasa hivi tuko kwenye MKUKUTA 2. Wakati huo huo tunaambiwa kuna 2011-2015 development plan. (Personally sijaelewa kwa nini tuna mipango miwili yaani MKUKUTA na huu wa 2011-16). Lakini nimejaribu sana kupitia bajeti za wizara nyingi ni vigumu sana kujua kama we're on/off track kwa malengo ya Vision 2025. Na kama tuko off track, je, kwa muda huu uliobakia tunaweza
kurebisha mambo na kurudi kwenye mstari?

Kwa mfano, kama tulisema madini yachangie % ngapi kwenye GPD by 2025, sasa tumefikia wapi? Au tulitaka utalii au uvuvi, au kilimo kichangie kiasi gani by 2025 na sasa tuko on/off track? Kama tulisema tunataka tuwe na madaktari 5,000 sasa hivi tuna wangapi?

Sasa hivi serikali inakopa sana, kama sikosei govt ndio mkopaji mkubwa kwenye commercial banks zetu hapa nchini! Kukopa sio mbaya ila tatizo ni tunafanyia nini huo mkopo? Tunakopa kulipa mishahara ya watumishi na sio kugharamia miradi ya maendeleo. Huku ni sawa na mkulima kula mbegu! Deni la taifa tunaambiwa ni 22 trillion, wamefanyia nini hizi hela? Na nani atalipa? and how kama tunakopa kulipa mishahara?

Ndio maana unaona Mkullo alikabidhi bandari ya Mtwara baada ya kushindwa kulipa deni la ndege! Siku zote nimekuwa naamini matatizo mengi tuliyonayo yanasababishwa na bunge. Bunge limelea bajeti za kipuuzi, bajeti za mishahara na posho wa warsha.

Bunge linatakiwa lisome Vision 2025 na MKUKUTA na hii 2011-2016 na kuelewa kila neno, halafu kila wizara ilete mambo yanayoelewa, waeleze wamefanya nini inline na hizo plan na kama wamekwama kwa nini?

Great comments,,, sasa hapa ndio tulitaka Upinzani usaidie kuweka mambo sawa... lakini they continue also support mijadala ya kujadili kubalance numbers... I salute you Sir... I love to read comments of these kind.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kwakuwa serikali mara zote imeshindwa/kugoma kulipa mishahara kulingana hali halisi ya maisha au hata kutoa ruzuku kwa bidhaa muhimu basi ilazimishwe: 1.kushusha/kupunguza PAYE kwenye vipato vya wafanyakazi ili kuwapunguzia makali ya rising uncontrolled inflation.
2.kuibana serikali kwa kutopitisha bajeti ya serikali ambayo asilimia kubwa ya matumizi ya kulipana posho,safari,kuanzisha Mikoa na wilaya mpya ili kukidhi matakwa binafsi ya wakubwa na kisiasa na kununulia magari ya anasa yanayonya uchumi wa Watanzania maskini.
3.Itengenezwe mifumo bora na thabiti ya kuyabaina na kuyabana makampuni ya Simu na Madini kuhakikisha serikali inapata kodi stahiki.
 
Hon Zitto, I salute you.

Straight to the point;

1. Inflation:
Its true that food prices contribute a lot to the rising of inflation. To lower down food prices we must increase production and improve means of supply (infrastructure). Here we need affordable, reliable and sustainable energy supply. We must seriously invest in renewable energy and walk the talk instead of 'kilimo kwanza' blah blah. Poor Energy supply affect all sectors of production hence increase inflation.

2. Unemployment:
Most politicians talk about youth unemployment only when they need votes. We can turn things around by ensuring affordable energy (electricity) supply. With affordable and reliable power supply we can have more local manufacturing industries flourishing, here we are talking of young entrepreneurs. We must as well review our curricula to reduce dependent education and encourage innovative and result oriented mentalities in our graduants. We must create a country of INVESTORS.

3. Imports vs Exports:
Again there is no shortcuts, we must create condusive environment for locally owned economy. Increase production and processing of agricultural produce. This is only possible by doing away with blah blah in energy and transport sectors. We must use our ports, gas reserve, minerals etc to create wealth, YES we can do it. War on corruption must be seen and felt by all Tanzanians and non Tanzanians.

To sum up, ENERGY, Education transformation, Infrastructure and FIGHT AGAINST Corruption to the large extent hold the key for our economic development. We must do all we can to turn the people of this country from "Whiners" to "Winners".

YES WE CAN
 
I usually find myself in mysterious situation when I correlate the pase as which the national debt is growing and the amount and quality of social services offered by the government! what actually does the government do with this huge amount of money which we borrow from whoever??

OSOKONI to understand what the gvt is doing with that huge money you don't have to look at social services, you have to look somewhere else and don't get me wrong is not one item but rather a combination of them

1. safari za brother, guys will think i am politicizing this but believe you me, his trips are costing us a fortune!
2. cars, take a look at cars they are driving!
3. corruption, it takes different forms, it needs a page a two to explain but this is also costing us millions of dollars
 
Ningependa bejeti itakayopunguza matumizi ya serikali. Hii ina maana kwamba serikali ipunguze mambo ya anasa kama vile kununua utitiri wa magari, utitiri wa semina zenye malipo na marupurupu..

Duh bado sana, si umesikia ya juiz huko arusha 10 Bil kwaajili ya mkutano, ni mwendo wa kununua maprado na Vx kw ajili ya wageni na kukarabati mahotel na kumbi za mikutano.
 
Back
Top Bottom