Nadhani wengi tunajua alichokisema mh. z. kabwe jana bungeni alipokuwa anahitimisha hoja ya kamati ya mashirika ya umma. zito alisema anakusudia kukusanya sahihi za wabunge 70 ili aweza wasilisha hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu.
Ameonyesha ujasiri na hisia kuwa anachukizwa na utendaji kazi wa m.k.p.p , ugumu ninaouona katika hili ni uwezekano wa kupata 51% ya wabunge, kwa sababu ccm imezaa watoto wengi ambao ni cuf.
Wadau nisaidieni kiutaalam zaid nyie mnalionaje hilo?
Ameonyesha ujasiri na hisia kuwa anachukizwa na utendaji kazi wa m.k.p.p , ugumu ninaouona katika hili ni uwezekano wa kupata 51% ya wabunge, kwa sababu ccm imezaa watoto wengi ambao ni cuf.
Wadau nisaidieni kiutaalam zaid nyie mnalionaje hilo?