Kuna tetesi kuwa ZZK katumwa na Mkuu wa Kaya..., Nimekuwa nikijiuliza, ni kweli mkuu wa kaya alikuwa hana taarifa za huu ubadhirifu wa mabilioni uliofanywa na aliowateua au ndo tunafanyiwa maigizo tu sisi makabwela?
Kuna tetesi kuwa ZZK katumwa na Mkuu wa Kaya..., Nimekuwa nikijiuliza, ni kweli mkuu wa kaya alikuwa hana taarifa za huu ubadhirifu wa mabilioni uliofanywa na aliowateua au ndo tunafanyiwa maigizo tu sisi makabwela
Kuna tetesi kuwa ZZK katumwa na Mkuu wa Kaya..., Nimekuwa nikijiuliza, ni kweli mkuu wa kaya alikuwa hana taarifa za huu ubadhirifu wa mabilioni uliofanywa na aliowateua au ndo tunafanyiwa maigizo tu sisi makabwela?
Kuna tetesi kuwa ZZK katumwa na Mkuu wa Kaya..., Nimekuwa nikijiuliza, ni kweli mkuu wa kaya alikuwa hana taarifa za huu ubadhirifu wa mabilioni uliofanywa na aliowateua au ndo tunafanyiwa maigizo tu sisi makabwela?
Mnataka kuanza kumpa credit JK za bure tu; atakuwa na udhaifu wa kiasi gani wa kutaka kumtumia mpinzani kufanya jambo ambalo yeye mwenyewe ana uwezo wa kulifanya bila kulazimishwa na yeyote? mpeni credit Zitto kwa hili na wenzake
Hivi Mkuu bado unadhani JK anaujasiri wa kumuwajibisha mshikaji wake yeyote? The only way anayoweza kufanya kitu kama hicho ni kwa kuwatumia baadhi ya watu. JK ni muoga sana kukosana na washikaji kuliko kuiokoa nchi na wizi. mbona ushahidi ni mwingi tu mkuu! ukifuatilia EPA, RICHMOND-DOWANS, JAIRO, LUHANJO nk. Angalau Pinda alishawahi kusema angekuwa na madaraka angemfukuza kazi Jairo straight away - (If you can read between the lines this statement has a lot to tell)