Usikae kufikiri kila mmoja anawaza mambo zako kichwani
Sisi ni wazalendo tupo imara kupigania wapotoshaji washindwe km wewe
Kazi ya magufuli inatambulika
Ukiwa mnufaika wa mvua lzm uisifie.Wasionyeshewa na Furaha wataisifia vipi mvua.
Usikae kufikiri kila mmoja anawaza mambo zako kichwani
Sisi ni wazalendo tupo imara kupigania wapotoshaji washindwe km wewe
Kazi ya magufuli inatambulika
bora yangu matope yako imejaa wasted sperms tu tena zilizotoka kuchovya kwenye tundu la choo.Ni wazi akili yako imejaa matope
Elimu ya uraia Tanzania ni kitu adimu kwa watu wengi sana.
Ungeandika humchagui siyo wote wenye mawazo Kama ya kwakoSiungi mkono hoja,Magu hatufai na tusimchague tena 2020 maoni yangu yaheshimiwe.
Moja ya bandiko la hovyo kabisa kuwahi kukumbana nalo ndani ya JF tangu nizaliwe.
Mkuu technically umepotelea wapi??heshima yako mkuu!!!Sijawai Kuona Popote Duniani Rais Anayepambana Na Ufisadi Kuzuia CAG Wa Nchi Husika Kukagua Hesabu Za Baadhi Ya Mashirika Muhmu Ya Umma Kama ATCL
Nadhani hii itawezekana kulingana na atakaepokea kijiti kutoka kwa huyu mzee wetu
tatizo lenu ndo hilo ukweli ukisemwa mnaingiza ishu za buku 7 😕Kachukue buku 7 chumba no 7 kwa chakubanga
Pamoja na Mabaya waliyofanya Wakoloni lakini kwa CCM Watu wanaona bora
bimkubwa wako kahama?Kama umenuna uchapakazi wa magufuli
Hama nchi Mkuu au nenda kwa mangi kamba zipo nyingi
Hakuna kabisa.Tena ikatokea Kwa mapenzi ya Mungu akafa Tz nzima ni sherehe
Kila MTU na mtazamo wake.Ingekuwa kukaa madarakani mda mrefu ndio maendeleo Africa ingeizidi ulaya,
Uchunguzi upi?Rais hakubariki mtu apigwe risasi
Ndio maana alitoa pole na kuagiza uchunguzi ufanyike
Matusi yatakusaudia?
Zimbabwe is loading, but atujamkosea Mungu hadi atuache
Ndo hapo sasaMiaka minne tu deni La taifa limedabo miaka 10 je.
Hivi wewe ni mke wake?Kama umenuna uchapakazi wa magufuli
Hama nchi Mkuu au nenda kwa mangi kamba zipo nyingi
Miaka 2 sasa ni uchunguzi wa kwenda mwezini?
Ukiwa mnufaika wa mvua lzm uisifie.Wasionyeshewa na Furaha wataisifia vipi mvua.