Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
- Thread starter
- #21
Ni wazi akili yako imejaa matope
HAKUNA BINADAMU WAKUTAMANI HUU UPUUZI.
HAKUNA BINADAMU WAKUTAMANI HUU UPUUZI.
Aya, nenda sasa ukachukue hundi yako ikulu.
Kuwa na watu wenye fikra za kuzimu kama hizi ndo zinazoipa ccm nguvu ya kutawala.
Siungi mkono hoja,Magu hatufai na tusimchague tena 2020 maoni yangu yaheshimiwe.
We ni fukara uliyekata tamaa kabisa.Hata.
Kuna kundi jingine kubwa sasa hivi linazaa hovyo huko bila kuwa na malengo halafu mwisho wa siku nao wanaishia kumlaumu JPM..
Awamu hii hakuna cha dezo, bila kufanya kazi halali hakuna hela tena naomba aongezewe miaka 5 ikamilike 15 na imani tutapata kizazi cha wachapakazi, achana na hiki kilichokuwa kimezoea dezo muda wote katika awamu zilizopita..
Miaka minne tu deni La taifa limedabo miaka 10 je.
Hakuna kabisa.Tena ikatokea Kwa mapenzi ya Mungu akafa Tz nzima ni shereheHAKUNA BINADAMU WAKUTAMANI HUU UPUUZI.
Kuchapa kazi Hakuna asiyependa kama mazingira Mazuri yakiwekwa ili MTU aweze kufanya kazi.Kaa nafasi ya wasio na ajira mtaani baada ya Sera za Kusomesha watu no
Sijawai Kuona Popote Duniani Rais Anayepambana Na Ufisadi Kuzuia CAG Wa Nchi Husika Kukagua Hesabu Za Baadhi Ya Mashirika Muhmu Ya Umma Kama ATCL
Ongezea na madini.Sijawai Kuona Popote Duniani Rais Anayepambana Na Ufisadi Kuzuia CAG Wa Nchi Husika Kukagua Hesabu Za Baadhi Ya Mashirika Muhmu Ya Umma Kama ATCL
Ulaaniwe wewe na kizazi chako
Nakazia hakunaaaaaaaHAKUNA BINADAMU WAKUTAMANI HUU UPUUZI.
Wajinga na wapumbavu kama wewe ndio wataaongea upuuzi kama wako uliouleta hapa jukwaani
Nyie Watoto mnaobalehe mnadhani kuongozw nchi ni kama kutukana na kukejeli
Mjinga sana wee nimekustahi
AmenUlaaniwe wewe na kizazi chako
Nani anae tamani kuona mbunge anapigwa risasi mchana kweupe na watuhumiwa hawakamatwi,huu utawala ni wakikatiri sana na ni wakisee,,,,Pamoja na wewe mtoa post ni museee...!!!
Zimbabwe is loading, but atujamkosea Mungu hadi atuacheUhuni wako wa mtaani usiuhsmishie hapa kama bangi zimekuchosha hamia kwenye ngada
Mjinga kabisa we
Rais hakubariki mtu apigwe risasi
Ndio maana alitoa pole na kuagiza uchunguzi ufanyike
Matusi yatakusaudia?
Umetoka mahakamani? Hongera! Na penda usipende akitoka madarakani 2025 tutamkumbuka a