Zirrrrrro noma!

Garmii

Senior Member
Feb 26, 2011
164
19
Ziro alimwambia babake haendi shule tena,akaulizwa kwann?akajibu inaelekea walim hawana hakika na majibu yao;juzi walisema 5+2=7,jana 3+4=7,leo 6+1=7 na kesho huenda watasema 7+0=7 sasa huo si ubabaishaji?
 
Labda Mwalimu alikuwa anamkaririsha bila kumpa ufafanuzi inatokea vipi mpaka jibu linakuwa saba... Ziro pamoja na u-ziro wake aliigomea elimu ya kukaririshwa, Bravo!
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom