Ziro alimwambia babake haendi shule tena,akaulizwa kwann?akajibu inaelekea walim hawana hakika na majibu yao;juzi walisema 5+2=7,jana 3+4=7,leo 6+1=7 na kesho huenda watasema 7+0=7 sasa huo si ubabaishaji?
Labda Mwalimu alikuwa anamkaririsha bila kumpa ufafanuzi inatokea vipi mpaka jibu linakuwa saba... Ziro pamoja na u-ziro wake aliigomea elimu ya kukaririshwa, Bravo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.