Nejad Rocket
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 298
- 197
Hi great thinkers Jana jioni katika kijiwe na babu Fulani akatupa historia yake jinsi alivyo sababisha vifo vya watu 23 kijijini kwao.
Babu alituambia kuwa aliwekewa zindiko hilo Pangani Tanga alipokwenda kikazi Mara baada ya mwaka mmoja akaanza kuona wafanyakazi wenzie wanakufa mmoja baada ya mwingine huyu wa 23 akamfuata babu kumuomba msamaha Kwa ubaya alomfanyia kazini.Babu akamwambia yeye hana sababu ya kumuomba msamaha kwakuwa hakumfanya lolote
Mgonjwa wa 23 akamwambia mzee mwili wako hauguswi mganga ameniambia hivyo nilipokuwa napata tiba.Wiki moja baadae yule mgonjwa akafa akafikisha watu 23 waliokufa Kwa kugonga mwamba.
Duniani kuna mambo kweli nikajikuta namuomba babu anipeleke Kwa huyo mganga akasema hapana Kwa maisha ya sasa unaweza kuua watu wengi sana ukipewa hiyo nguvu mwilini kwakuwa wanadamu wa sasa ni wabishi sana wakaidi wana dharau sana hivyo mjukuu wangu sikushauri ufanye hivyo nikaitikia kishingo upande.Mazungumzo yakaishia hapo je mdau una lolote la kuongeza karibuni.
Babu alituambia kuwa aliwekewa zindiko hilo Pangani Tanga alipokwenda kikazi Mara baada ya mwaka mmoja akaanza kuona wafanyakazi wenzie wanakufa mmoja baada ya mwingine huyu wa 23 akamfuata babu kumuomba msamaha Kwa ubaya alomfanyia kazini.Babu akamwambia yeye hana sababu ya kumuomba msamaha kwakuwa hakumfanya lolote
Mgonjwa wa 23 akamwambia mzee mwili wako hauguswi mganga ameniambia hivyo nilipokuwa napata tiba.Wiki moja baadae yule mgonjwa akafa akafikisha watu 23 waliokufa Kwa kugonga mwamba.
Duniani kuna mambo kweli nikajikuta namuomba babu anipeleke Kwa huyo mganga akasema hapana Kwa maisha ya sasa unaweza kuua watu wengi sana ukipewa hiyo nguvu mwilini kwakuwa wanadamu wa sasa ni wabishi sana wakaidi wana dharau sana hivyo mjukuu wangu sikushauri ufanye hivyo nikaitikia kishingo upande.Mazungumzo yakaishia hapo je mdau una lolote la kuongeza karibuni.