mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Done kwa kweli
Hamna faida yeyote, watu wanakufa syria kama mbuzi na hamna kinacho fanywa na UN. Hata kama malalamiko yenu yakifika kwenye kikao mnafikiri nini kitafanyika?
Hebu acha jazba mkuu, haya yameshatokea tujifunze kutafuta mbinu za kusolve mambo yetu bila kwenda kwa taasisi zinazoyatumikia mataifa tajiri. Izrael wanaua waparestina kwa risasa wakati tagert anawithdraw (breaking of un rules of engagement), bush na blair wamevamia irak kinyume na un rules bila kutuonyesha nyuklia hata sampo tu badala ya wao kunyongwa ananyongwa sadam etc. So mkuuunakotaka kutupeleka hakuna fair and equal decision zaidi ya kuangalia kama watapata faida kwa kesi hiyo. They don't care about us (poor) they care about what they will gain after bringing vita na machafuko. Siku hamas walipo shinda democratic election us na wadau wake wanaojifanya ni mabingwa wa democrcy waliwapinga na kukataa kutambua chaguo la waparestina. Where was you un in this. Am not defending mauaji hila unakotaka hili tatizo likapatiwe ufumbuzi binafsi siafiki, sisi wenyewe tunaweza kuleta changes
i am blocked. kwenye address inasema not recognized; nifanyeje? i need to vote pls
wahusika nisaidieni basi. ninatatizi, nikijaza kufikia address then inaniambia my address not recognized. pls i want to play my role, the rest God will do.
i am blocked. kwenye address inasema not recognized; nifanyeje? i need to vote pls