Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,912
- 3,021
Hiyo imeshajadiliwa hapa na references zikaletwa. In fact kuna mtu alisema hadi watoto walio katika himaya ya mkono wa kulia wa muislamu.
It wasn't me; nimejifunza kwenye uzi huu huu.
Sasa kama ilijadiliwa,mbona umeuliza tena Mkuu?!
au unamaana tofauti na hayo?!
Ama kusema
Watt wa mwanamke mke mtumwa,kuwaingilia kama unavyomuingilia Mama yao,Hili halifai kisheria
Kama yupo aliesema haya
Basi ameteleza kwa bahati mbaya
Ila Haifai kisheria Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako ni kuwa unashindwa kutilia maanani mjadala unavyokwenda. Nimemfafanulia mtu kulingana na mjadala ulivyoenda na sio kweli kuwa nimeuliza tena chochote. Umeelewa?
Daudi huyu hapa Mungu kampa wake za watu, vip Tora ilikua aijakuja ? kama ujui jambo tuulize tukufunze , Mungu akitoa ruksa wewe nani wa kupinga, kama waislamu walivyoruhusiwa na Mungu ndivyo Daudi alivyoruhusiwa , hili ni jambo la kawaida kabisaaaaaaawaukaye heri ungenifundisha umma wa Ibrahim kulikuwa bado Tora haijaja ningekuelewa kwa uzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Shirikisha basi ubongo wako na wewe , hata kama imani tumia akili kidogo, Mungu ajawa dhalili mpaka kutishwa na kinyago chake, sasa Mungu ndio mwenye mbingu, ndio aliwaumba hao mashetani, ndio aliwaumba hao watu,ndio kandaa huo moto, sasa anakuja kudhalilika kwa faida ya nani!! wakati vitu vyote vyake, uwe unatafakari huyo ni Mungu wa kichina mwenye macho na aoneKumbe Hujui Yesu alikuwa Mungu KAMILI na MWANADAMU KAMILIau mungu wako uwezo huo hanaulicho ANDIKA ni pale Yesu alipokuwa ktk hali yake ya kibinadamu MTUME na NABIIMUNGU WANGU NI RAHA TUPU
Sent using Jamii Forums mobile app
Butu ndio inakufaa ,hili nikuachie vidonda vingi , iwe kumbukumbu siku zote za maisha yako kuwa niliwai kutana na ulamaa masoud mwana wa mshahara
Na ujumbe huu pia alimpa vip ujauona au ndio ujeuri tu
Kama aliweza kupigwa makofi na kutundikwa kama mishikaki sasa hili la kubeba mimba lina siri gani? usijifiche kwenye vioo tunakuona ebu tueleze Mungu wako anaweza kubeba mimba na kuzaa mapacha ?maana umesema anaweza fanya kila kitu ahahaha ahahahhahahhahahAkitaka Mimi au wewe sio ma-mc wake kutuelekeza hili jema na hili ni ovuilaha Yale Aliyo yafunua kwetuView attachment 1003254
Sent using Jamii Forums mobile app
Daudi huyu hapa Mungu kampa wake za watu, vip Tora ilikua aijakuja ? kama ujui jambo tuulize tukufunze , Mungu akitoa ruksa wewe nani wa kupinga, kama waislamu walivyoruhusiwa na Mungu ndivyo Daudi alivyoruhusiwa , hili ni jambo la kawaida kabisaaaaaaa
2 SAMUEL 12:7-8
7"; Basi Nathan akamwambia Daudi,wewe ndiwe mtu huyo. Bwana Mungu wa Israel , asema hivi,Nalikutia mafuta, uwe mfalme juu ya Israel , nikakuokoa na mkono wa Sauli ;
8"; nami nikakupa nyumba ya bwana wako,na WAKE za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya israel na yuda; na kama hayo yangalikuwa machache,ningekuongeza mambo kadha wa kadha.
haya sasa rudi tena uulize swali lako, kama Daudi alipewa wake za watu na Mungu wako kipi unastaajabu, waislamu kupewa watumwa wa kivita !!!
Tulia utafakari waukaeShirikisha basi ubongo wako na wewe , hata kama imani tumia akili kidogo, Mungu ajawa dhalili mpaka kutishwa na kinyago chake, sasa Mungu ndio mwenye mbingu, ndio aliwaumba hao mashetani, ndio aliwaumba hao watu,ndio kandaa huo moto, sasa anakuja kudhalilika kwa faida ya nani!! wakati vitu vyote vyake, uwe unatafakari huyo ni Mungu wa kichina mwenye macho na aone
Nashukuru kwa kukubali wembe wako ni butuButu ndio inakufaa ,hili nikuachie vidonda vingi , iwe kumbukumbu siku zote za maisha yako kuwa niliwai kutana na ulamaa masoud mwana wa mshahara
Bado uko kwenye quantity badala ya qualityNa ujumbe huu pia alimpa vip ujauona au ndio ujeuri tu
MWANZO 21:18
"; Ondoka , ukamwinue kijana, ukamshike mkononi mwako, kwa kuwa nitamfanya kuwa taifa kubwa ";
wewe endelea kutoka mishipa
Kama aliweza kupigwa makofi na kutundikwa kama mishikaki sasa hili la kubeba mimba lina siri gani? usijifiche kwenye vioo tunakuona ebu tueleze Mungu wako anaweza kubeba mimba na kuzaa mapacha ?maana umesema anaweza fanya kila kitu ahahaha ahahahhahahhahah
Unaposema Mungu anaweza kufanya lolote, halafu unaulizwa swali Mungu wako anaweza kubeba mimba na kuzaa mapicha ? badala ya kutoa jibu unaanza kuleta mambo ambayo katu ayaendani na ulichoulizwa unastaajabisha sana ahahahaha ahahahhahahhahahSiri ni ya MunguView attachment 1004075 Hata Kauli hii ya Mungu bado hujaielewa tu waukaye
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio mwisho wako nilifikiri utakuja na aya nyingine, kama Mungu wako amembariki Ishmael wewe kapuku utaongeza nini ?ahahahaahhhahhaha