NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,840
- 5,099
Mkuu uzuri wa huyu mtu muelewa,ataleta uongo unamletea ukweli atahama hapo ataenda pengine,nako ataleta mafhum siyo unampa mafhum yasawa ataishia kusema "we msemee Allah tuu" huyoo atahama.
Sasa na hapa mkuu kaja na hoja zake sikilizia atakavyo uacha huu mjadala utashangaa ndo huyu alikuja kwa spidi ya 4G
Kama ambavyo tumeruhusiwa kuwaingilia wake zetu katika aya mbali mbali,basi kwani kuna aya imesema kwamba zinaa maana yake ni kumuingilia asiyekuwa mkeo tu(hata awe mmilikiwa wa mkono wa kuume)?
Kama ipo ilete hapa ili tuone kwamba Qurani inajichanganya,mara iseme kumuingilia asiyekuwa mkeo ndo zinaa,alafu huku inakuja kuruhusu kumuingilia mtumwa ambae sio mkeo,hiyo aya ipo wapi?
Mkuu kwa nini unakigugumizi kujibu wakti swali ni dogo tu?Swali lako ni busara zaidi nikajibu kwa swali.
Nakuuliza hivi.
Waislamu wanaposema pombe haramu,au kamari haramu,au liwati haramu jee huwa wanasema kwa matashi yao au wanaifuata Qurani imesemaje?
Nawewe mbona unashindwa kujibu swali dogo tyu mkuu?Mkuu kwa nini unakigugumizi kujibu wakti swali ni dogo tu?jee UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI wakezositakulaumu abadan ukisema hujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa nini unakigugumizi kujibu wakti swali ni dogo tu?jee UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI wakezositakulaumu abadan ukisema hujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Anawasumbua wajinga wajinga tu wasiojielewa,waislamu wa ushabiki wale hawajui madrasa wala nini,ila huyu ni mtoto mdogo mnoo na viroja virojavyeeeeHahahahah
Nilikuwa nae sehemu
Alileta Hadithi yake ya kutunga
akasingizia ameipata katika Kitabu عمدة الأحكام
Kumbe hakuna kitu hicho kabisa katika Kitabu hicho wala kitabu chochote kile
alikimbia mbio nyingi sana
الله المستعان
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wengi tu! Chochote unacho kimiliki! watu, wanyama, vitu...Labda kabla ya kukujibu Chief Mgen
naomba unijibu hili tafadhali
Ni kina nani hao wanaomilikiwa na Mkono wa Kuume?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuAnawasumbua wajinga wajinga tu wasiojielewa,waislamu wa ushabiki wale hawajui madrasa wala nini,ila huyu ni mtoto mdogo mnoo na viroja virojavyeeee
wamekariri koloaniNawewe mbona unashindwa kujibu swali dogo tyu mkuu?
Hahah bwana mgeni kawa mgeni kweli.kama unataka kufahamu wewe jibu swali alafu nitakujibu swali lako ikiwa unania ya kutaka kujibiwa.
Nakuuliza tena mkuu
Waislamu wanaposema pombe haramu,au kamari haramu,au liwati haramu jee huwa wanasema kwa matashi yao au wanaifuata Qurani imesemaje?
wamekariri koloanihaya nijibuUNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI wakezo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningejua ningeulixa?Nilitaka ww ulioleta neno hilo,uniambie maana yake na marejeo
unatakiwa uwe Mwalimu bora Mgen
Nipe somo Bro
Ni wapi umetoa maana hiyo?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
wamekariri koloanihaya nijibuUNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI wakezo?
Sent using Jamii Forums mobile app