Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
- Thread starter
-
- #241
Alijua tuu kwan kila mwaka kutakua na vita? yaan kama kitimoto tuu...afu Allah hakutaka tupate taabu alijali sana sisi wanaume wa kiislam kuhakikisha tuna kua satisfied huoni nyie mnavobaka na kulana mnaruhusu hadi ugay?
Kama nyie ni vidume mfuateni Yesu maana yeye hakugonga kabisa mpaka anapaa zake..
Usichukue kila mafunzo utakayoyasikia hao ni "Mashia"ndio wenye hayo mafundisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitake radhi nduguWewe hustahili hata kuitwa muislamu jina.
weka ayat"Na wala msiikaribie kabisa zinaa(sio tu msifanye bali hata msiikaribie), hakika huo huo ni uchafu na ni njia mbaya kabisa" Qur an Kareem
Ndio maana nikaja hapa kuuliza japo natuhumiwa kukashifu watu na dini za watu.
Mimi uislamu wangu ni wa aya na hadithi,sikamati aya peke yake niaziwacha hadithi.ama nikamate hadithi peke yake niziwache aya.
Kwa hivyo kigezo cha kutokuwepo aya hakimati sana upande wangu kwa kuwa aliyeteremshiwa hizo aya nayeye ana nafasi ya kufuatwa kama aya zinavyotaka afuatwe.
Weka aya ambayo imeruhusu
Alafu weka aya ambayo imelazimisha.mana usije changanya kati ya uruhusa na ulazima.
ulitaka kufunzwa vipi Bro?!Ndio shida ya Watanzania. Kila anaekupa challenge ili aelewe anakuwa taken negatively. Kuna shida gani kunielekeza hata kama mwaona nina uelekeo tofauti?
Kwa mujibu wa uislamu,uislamuAya inayo ruhusu zinaa kwenye uisilamj hii hapaView attachment 999215 jee inao WAMILIKI mikono ya KUUME NI WAKE ZAO
Sent using Jamii Forums mobile app
Mduara wa niniKwa mujibu wa uislamu,uislamu
umeruhusu mwanaume kuwaingilia kindoa wanawake wa sampuli ngapi?
Mduara wa niniMimi nimekuuliza wakezo umepewajee UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKE ZAKOjibu hapo Mkuu safuha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mduara wa niniMimi nimekuuliza wakezo umepewajee UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKE ZAKOjibu hapo Mkuu safuha
Sent using Jamii Forums mobile app
Msema kweli upoMgen
Naomba mada ya Mfiakweli imalizwe kwanza
Kisha
tutakuja katika hili na WANAOMILIKIWA NA MKONO WA KUUME
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lako ni busara zaidi nikajibu kwa swali.Mduara wa niniMimi nimekuuliza wakezo umepewajee UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKE ZAKOjibu hapo Mkuu safuha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mduara wa niniMimi nimekuuliza wakezo umepewajee UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKE ZAKOjibu hapo Mkuu safuha
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lako ni busara zaidi nikajibu kwa swali.
Nakuuliza hivi.
Waislamu wanaposema pombe haramu,au kamari haramu,au liwati haramu jee huwa wanasema kwa matashi yao au wanaifuata Qurani imesemaje?
Mkuu uzuri wa huyu mtu muelewa,ataleta uongo unamletea ukweli atahama hapo ataenda pengine,nako ataleta mafhum siyo unampa mafhum yasawa ataishia kusema "we msemee Allah tuu" huyoo atahama.Huyo unaemuuliza zaidi,ndio Mwalimu wa uongo na mchafuzi wa mazingira
Mgen
Anapoingia katka mjadala hususan wa Kidini,Basi hana zaidi isipokuwa uharibifu
Sifa yake kuu
Ni Uongo,kama alivyomwenzake
Sent using Jamii Forums mobile app