Zimwi lakata kamba, laanza kuwatafuna waliolifuga

Zimwi lakata kamba, laanza kuwatafuna waliolifuga

Earthmover

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
25,975
Reaction score
25,291
Lile zimwi linalofugwa kwa kulishwa maziwa na asali limeanza kuwatafuna waliolifuga habari zilizo tufikia hivi punde wafugaji wa zimwi hilo wanajuta kwanini walilifuga.

Jitihada za kuwaokoa wafugaji wa zimwi hilo zimeshindikana kwa kuwa chumba wanachoishi wafugaji hao wa zimwi ndo zimwi hilo linapoishi.

Mfugaji moja alisikika akisema tulimwambia Mkuu wetu tuliuwe mapema kabla halija leta madhara lakini hakunisikiliza

...tukutane jioni saa 12 kwa taarifa zaidi.
 
Hivi unadhani waliosema kuwa 'Ningejua huja baada ya kukosea' walikuwa wajinga? Wamelikoroga wenyewe wacha walinywe
 
Back
Top Bottom