Ckufundshi ila nakutoa ujinga ulionao kichwan kwa kuona tz as a developed countryKwa hiyo unataka unifundishe mimi kazi yangu?
Mkuu Swaziland haijazungukwa na south Africa. Imepakana na msumbiji upande wa mashariki. Lesotho ndio imezungukwa na sauz.Nadhani ni Swaziland Ile nchi iliyozunguka na SA
Nimehakiki boss wangu hii ni ya 2018 tulikuwa kundi moja na yeye hajatangazwa kutoka.Kahakikishe 'WB' mkuu Drone'
Sielewi ni kitu gani hapo hukielewi. Watu hushangilia kufikia umri wa miaka 21, au age of maturity. Wengine hushangilia kufikisha miaka 25 ya ndoa; n.k. Wakati hawa wakishangilia hayo, kuna wenzao waliadhimisha sherehe hizo miaka mingi iliyotangulia. Sasa unataka hao wa sasa wasishangilie kwa kuwa tu kuna wenzao waliisha shangilia sherehe hizo miaka kadhaa iliyopita? Vivyo hivyo, unataka Tanzania isishangilie hatua iliofikia kwa kuwa tu nchi nyingine tayari zilikwisha fikia hatua hiyo mapema zaidi? Sioni mantiki ya hoja yako.Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.
Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.
Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.
Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.
Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?
#msitufanye hamnazo.
Waulize world bank mkuu, sio tz iliyowalazimisha waseme hivyo!Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.
Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.
Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.
Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.
Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?
#msitufanye hamnazo.
Nani kasema inakuwa developed country? We vipi! Hebu cheki hii ramani uone inatoka kundi lipi inaingia lipi.Ckufundshi ila nakutoa ujinga ulionao kichwan kwa kuona tz as a developed country
Malengo ilikuwa kuingia huko ifikapo 2025. Tumeingia 2020 miaka mitano kabla. Unataka hilo nalo lisifurahiwe?Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.
Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.
Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.
Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.
Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?
#msitufanye hamnazo.
Heshima kwako mkuu.Nimehakiki boss wangu hii ni ya 2018 tulikuwa kundi moja na yeye hajatangazwa kutoka.View attachment 1498607
Kwahiyo kama ulikuwa unauwezo wa kununua baiskeli , ukifanikiwa kununua gari utaacha kufurahi kwa kuangalia wengine ?Ukishagungua unalofanya si jipya hapa duniani.Basi jitahidi kufanya Kila Jambo linalohusu suala hilo kwa kiasi
Siyo kwa kishamba kama sisi. Hata tulipojenga reli ya Tazara, tulifurahi na kushangilia, ila si kwa namna ya sasa. Wala hakutukuzwa Nyerere wala kufananishwa na NabiiKwani hizo nchi ulizotaja hawakushangilia kipindi wametangazwa kuingia uchumi wa kati?
Sasa ulitaka tumeingia uchumi wa kati tusifurahi?,so tunune?,akili za Bavicha buana wakati ni ngumu kuzielewaNilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.
Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.
Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.
Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.
Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?
#msitufanye hamnazo.
Akijibu hili nitagWabongo mnapenda mawazo mbadala.
Kwa mfano mdogo tu : kuna mtu alimaliza digrii yake mwaka 1965 mwakani kuna kijana anahitimu digrii hiyo hiyo, kwa hiyo asifurahie kwasababu kuna walioimaliza miaka kadhaa iliyopita?
The International Monetary Fund (IMF) and the World Bank are institutions in the United Nations system. They share the same goal of raising living standards in their member countries. Their approaches to this goal are complementary, with the IMF focusing on macroeconomic and financial stability issues and the World Bank concentrating on long-term economic development and poverty reduction.Heshima kwako mkuu.
Napenda sana vitu vya namna hii. Laiti kama tungekuwa na utamaduni wa kufanya kama ulivyofanya tungekuwa mbali sana.
Kwa bahati mbaya wengi tunajipigia tu bora liende. Hii karibu kila nyanja zote.
Hebu kwanza: Zambia nao bado? Au kuna list mbili tofauti. Hii hapa ni UN, ya WB iko wapi?
Hivi naomba kuuliza,majirani zako wote wakiwa na magariNilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.
Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.
Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.
Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.
Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?
#msitufanye hamnazo.
Sasa maajabu ni kwamba kuna gazeti hapa lililotoa hiyo orodha inayopotosha.!The International Monetary Fund (IMF) and the World Bank are institutions in the United Nations system. They share the same goal of raising living standards in their member countries. Their approaches to this goal are complementary, with the IMF focusing on macroeconomic and financial stability issues and the World Bank concentrating on long-term economic development and poverty reduction.
WB ni institution ndani ya UN boss hivyo ni kama kitu kimoja tu.Nafikir WB wanafanya mambo yote then UN wanaidhinisha.
Yes Zambia hawajatoka LDC bado.
Duh napenda magazeti ila siyasomi mara kwa mara hivyo kuna habari zinaweza nipita japo sio headlines.Ningependa nijue waliongeaje kwenye hilo gazeti kama hutojali mkuu.Sasa maajabu ni kwamba kuna gazeti hapa lililotoa hiyo orodha inayopotosha.!
Hawa waandishi wetu wa habari ni sehemu ya upotoshaji? Na ni gazeti linaloheshimika.