Zimbabwe na DRC wameingia zamani nchi za kipato cha Kati, Tanzania tunashangilia kwa lipi?

chawa wa mama

JF-Expert Member
Jun 8, 2020
292
1,083
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
 
Hiyo ndiyo mama the Tanzania yetu, kila kitu tunajiona sisi ndiyo waanzilishi wakati kwa wenzetu hiyo ni zilipendwa .
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
 
Wabongo mnapenda mawazo mbadala.

Kwa mfano mdogo tu : kuna mtu alimaliza digrii yake mwaka 1965 mwakani kuna kijana anahitimu digrii hiyo hiyo, kwa hiyo asifurahie kwasababu kuna walioimaliza miaka kadhaa iliyopita?
 
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
Ni nchi mbili tofauti Mkuu ndio maana tunaitwa Tanzania ah ah ah Kama wote tungeingia pamoja wote nani angekuwa mwenye kipato cha chini
Povu ruksa
 
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
Nilishangaa kuikuta Zimbabwe ipo kwenye Uchumi wa Kati wakati ni masikini wa kutupwa fedha yao haina thamani yeyote,unaenda kununua mkate kwa milioni 12 za zimbawe....Mchicha milioni 6 , mayai tray moja milioni 30.
 
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
Siku mfumo wa elimu ukiboreshwa ccm inakufa.
 
Wabongo mnapenda mawazo mbadala.

Kwa mfano mdogo tu : kuna mtu alimaliza digrii yake mwaka 1965 mwakani kuna kijana anahitimu digrii hiyo hiyo, kwa hiyo asifurahie kwasababu kuna walioimaliza miaka kadhaa iliyopita?
Nafikiri tunaangalia na umri mkuu. Mtu aliyemaliza degree akiwa na miaka 22 akamuacha mtu mwenye miaka 26 yuko high school siyo sawa.

Tanzania tumepata uhuru zamani sana kulinganisha na nchi hizo zilizotutangulia kuingia uchumi wa kati! Ni aibu kushangilia kuingia uchumi wa kati kipindi hiki!
 
Wabongo walio wengi ni kama mademu wa Uswahilini, hawapendi kabisa kuusikia ukweli ama kuwa sehemu ya mafanikio, hupenda kulishwa tango pori ili waweze kuwaringia wajinga wajinga wengine hata kama wamelishwa uongo wa kupindukia. Uchumi wa kati ni suala la kitakwimu na nadharia kwa vigezo vya kiuchumi.

Wengi wanashangilia tu pasipo hata kujua vigezo na masharti ya kimataifa. Hatambui kwa kuwa na vigezo vya kimataifa na kutambulika kuwa nchi ipo kwenye uchumi wa kati, kuna masharti mapya ya mikopo na misaada ili upate sifa za kukubalika.

Haya sasa kwa suala hili la COVID-19 tutaona jinsi ya kuweza sasa kukabiliana nalo bila ya masharti mapya ya mabeberu. Ni lazima kuwa na uelewa mpana wa masuala ya uchumi wa kimataifa kabla ya kuanza kujisifia. We asked some, and we now get some.
 
Nilitaka nikae kimya ila nimeshinda.
Wiki iliyopita WB ilitangaza Tanzania kuingia nchi za kipato cha Kati.

Serikali ikaja na mbwembwe za kujisifu na kujiona imefanikiwa, nilibaki nacheka tu.

Nchi kama Benin, Djibouti, Zimbabwe, DRC , Eswatini, na Comoro pia waliingia muda mrefu it orodha hiyo.

Serikali ilitaka kutuaminisha kuwa maisha ya waTanzania yameboreka.

Tujiulize, hizo nchi zina uchumi upi? Wananchi wake wana maisha gani ya maana?

#msitufanye hamnazo.
Tatizo la pinga pinga wengi ni " wivu wa kimapenzi"
 
Back
Top Bottom