Zimamoto tayari

Zimamoto tayari

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
Wakuu watu wanauliza hasa mheshimiwa kishindo atoa japo taarifa watu wa konstebo na sajini wataitwa lini kazini? Maana hapasomeki huku mjini.watu wanapanga mipango ya kwenda bush kupiga dili za ukulima na uvuvi mkuu kishindo funguka aisee.
 
Sio lazma atoe assistance inspector kishindo , wizara haina hela so ndio maana wanachelewa. So kuwa nasubira
 
wewe kijana acha kuwadanganya wenzio japo sjaomba kaz hzo,bt gazet la maccm hlo ni propaganda na uwongo tu kulinda serikali.

ndo gazet wanalotumia makada,raia wawe,wapole na wavumilivu but next week yaweza kupakuliwa,wa kula wale na wa kutapika watapike
 
ndo gazet wanalotumia makada,raia wawe,wapole na wavumilivu but next week yaweza kupakuliwa,wa kula wale na wa kutapika watapike

haya mkuu wa kaya,watacheki kama ningekuwa nmeomba na nkaskia jna lng lmeonekana kwny gazet hlo la kidaku ningelikwenda kulifuta.
 
Back
Top Bottom