Akishaishambulia utafaidika na nini????Vita sio kama unavyofikiri ukifanya miscalculation inakula kwako hayo mataifa mawili yakishambuliana middle east kutabaki nyasi na hakuna kati ya hao anayependa vita option ya mwisho iliyobaki kwa kila taifa ni kusubiria lishambuliwe ndio lijibu mapigoJamani mi nahoji zile ndaru za netanyahu na israel kutishia kuishambulia iran toka mwaka wa 1980 mpaka leo mbona haijawaho kutokea?
Mbona israel hajarusha hata risasi?
Nimeamini israel ni weak state.
Kabisaa bangi sio mchicha aseeKuna baadbi ya waislamu tunasababisha mpka wote tunaonekanaga wajinga.
Jamani mi nahoji zile ndaru za netanyahu na israel kutishia kuishambulia iran toka mwaka wa 1980 mpaka leo mbona haijawaho kutokea?
Mbona israel hajarusha hata risasi?
Nimeamini israel ni weak state.
mpumbavu na mpuuzi kama ww mwenye akili za kushikishwa nyuma ndo unaeza kukoment uharo wako hapaHivi wewe unadhani kufunga kwako kumekurecharge nguvu mpya kwamba sasa unaanza kumchokoza Mungu? Wewe ni lipumbvue kabisa. Hujaui kwamba hata ungelifunga miaka mfululizo hutaweza kumshinda Mungu?
Ndiyo alllah amekudanganya hivyo?
mm nimeuliza maana israel alijigamba sanaAkishaishambulia utafaidika na nini????Vita sio kama unavyofikiri ukifanya miscalculation inakula kwako hayo mataifa mawili yakishambuliana middle east kutabaki nyasi na hakuna kati ya hao anayependa vita option ya mwisho iliyobaki kwa kila taifa ni kusubiria lishambuliwe ndio lijibu mapigo
Mkuu hao wameshinda njaa...hakuna cha kufunga wala nini...
mpumbavu na mpuuzi kama ww mwenye akili za kushikishwa nyuma ndo unaeza kukoment uharo wako hapa
sawa mkuu ila usitarajie kama kuna vita kati ya hao watumm nimeuliza maana israel alijigamba sana
Tatizo nn mpaka unaandika hii au Tatizo n kusema Israël n weak stateHivi wewe unadhani kufunga kwako kumekurecharge nguvu mpya kwamba sasa unaanza kumchokoza Mungu? Wewe ni lipumbvue kabisa. Hujaui kwamba hata ungelifunga miaka mfululizo hutaweza kumshinda Mungu?
Ndiyo alllah amekudanganya hivyo?
Watu wanapopigana, nyie mnafaidikaje. Je hii inaweza ikapelekea tukalipwa ile hela ya makinikia? Au ikasababisha uchumi wetu ukapanda hadi tukafikia uchumi wa kati?Jamani mi nahoji zile ndaru za netanyahu na israel kutishia kuishambulia iran toka mwaka wa 1980 mpaka leo mbona haijawaho kutokea?
Mbona israel hajarusha hata risasi?
Nimeamini israel ni weak state.
Hata wewe ungekuwa na akili sidhani kama ungecomment hiviHivi wewe unadhani kufunga kwako kumekurecharge nguvu mpya kwamba sasa unaanza kumchokoza Mungu? Wewe ni lipumbvue kabisa. Hujaui kwamba hata ungelifunga miaka mfululizo hutaweza kumshinda Mungu?
Ndiyo alllah amekudanganya hivyo?
Akishaishambulia utafaidika na nini????Vita sio kama unavyofikiri ukifanya miscalculation inakula kwako hayo mataifa mawili yakishambuliana middle east kutabaki nyasi na hakuna kati ya hao anayependa vita option ya mwisho iliyobaki kwa kila taifa ni kusubiria lishambuliwe ndio lijibu mapigo
waneshawahama waarabu saizi wanashangilia IRAN mkuumkumbushe jinsi waarabu walivyomiscalculate wakapigwa vibaya na waisrael 1967 na 1972