Agent-47
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 783
- 2,780
Kama kuna mtu yeyote anayo taarifa za muendelezo wa taarifa za huyu mwanajeshi wa Marekani. Zimepita siku nyingi sasa, amefikishwa mahakamani? Amefunguliwa mashataka yapi? Ameachiliwa?
Mbona hatukuambiwa chochote tena?
Sema huyu mwamba ana şura ya kinyakyusa sana, na hilo koti lake la soko la karume pale. anyway basi tu 😂
Mbona hatukuambiwa chochote tena?
Sema huyu mwamba ana şura ya kinyakyusa sana, na hilo koti lake la soko la karume pale. anyway basi tu 😂