Shomary N. Shomary
Member
- Sep 1, 2015
- 22
- 2
Hiyo inaitwa Chukua Chako Mapema, wewe unasubiri nini?
Toroka uje!!!!
Toroka uje!!!!
Na zile Filling Station zilizopigwa mnada ARUSHA vipi?? Biashara gani hiyo wanataka kufungua?? Nje ya nchi au ndani?? teh teh teh... Wenzako wameshaongea na Kalonzo Musyoka awaletee Helikopta 3 mpya ziwatoroshee South Africa kisha AUSTRALIA.. Wewe utabaki ukisaga meno hapo Mkuranga na Ufuta wako shambani..
Unaijuwa Alosco?
Unachekesha kweli ndugu, kamwe unajisumbua ukikaa ukawa na hisia kwamba UKAWA wataingia madarakani.
Kwa timu ipi hasa walionayo ambao ina uwezo wa kuongoza nchi?. Hawa kama wanakimbia na kama walikua wanakwepa kodi, basi ni lazima watakua wameshaona anaeingia ikulu ni yule ambae ana nia ya dhati ya kutokomeza mafisadi nchini, na ambae ni.......
Sasa yusuph mohamed anayeuziwa si ameoa kwa jamaa
Ninaomba kuelemishwa ni kwa nini home Shopping Center ametangaza kufilisika?. Alikuwa anafanya biashara gani?, Nani swahiba wake katika biashara zake?, Kama alikwepa kodi kwa nini asikamatwe na huku TRA wapo?.
Namna yako ya kuuliza maswali ni kama vile majibu unayo kwahiyo unataka kuona watu wanasemaje, wewe kuwa wazi tu weka na majibu na sisi tutachangia. Wakikuweka ndani mara baada ya uchaguzi tutakutoa.Ninaomba kuelemishwa ni kwa nini home Shopping Center ametangaza kufilisika?. Alikuwa anafanya biashara gani?, Nani swahiba wake katika biashara zake?, Kama alikwepa kodi kwa nini asikamatwe na huku TRA wapo?.
Sasa ni wazi hali imeanza kuwa tete kwa wafanyabiashara washirika wa vigogo wa serikali na watoto wao... Kampuni ya Home Shopping Centre washaanza kufungasha virago na kukimbia kusikojulikana.
Ikumbukwe kampuni hiyo imekuwa ikihusishwa na moja wa mke wa kigogo hapa nchini, pamoja na mtoto wa kigogo hapa nchi.(Mama na Mtoto).... Home Shopping centre wamekuwa wakishutumiwa zaidi kwenye sakala la ukwepaji kodi, ambapo kwa siku inakadiriwa walikuwa wanakwepa zaidi ya billioni 12 kwa bidhaa wanazoingiza nchini...
Kwa wale wadau wa Kariakoo watakuwa wanakumbuka sakata la hawa majamaa vizuri sana....
Myatake: Serikali ya Ukawa isinyamazie hili jambo. Lazima wawajibishwe kwa ukwepaji kodi hata kama wakisepa....
View attachment 300445