Habari ya Pediatric Ward
leo hakuna death, watoto wote wanaendelea vizuri
Habari ya Pediatric Ward
Nitafute......lol..hahahaa Katavi bana natafuta wa namanyere.
Umesema ukweli me mume wangu alikuwa hadi kuoga anaenda na simu ,sa ya kulala anailalia kwenye mto. Jioni kuanzia saa 1 hadi 4 anazima simu. Mwisho nililetewa kabinti ka form six kamefukuzwa kwao kana mtoto mchanga . Habari ikaishia hapo. Thanx kwa ujumbe mzuri.
Chapter 6 itakuwa ya kwangu lol
Watu wengine kwa unoko bana....dah!Ridhika na ulichonacho...utakufa siku si zako.Alafu ukichukua wote wajukuu zako wa kiume wataenda wapi?
babu bana ntakupa!
Mkwaruzo bana yamekukuta nini maana du umeongea kweli tupu.........................
Umesema ukweli me mume wangu alikuwa hadi kuoga anaenda na simu ,sa ya kulala anailalia kwenye mto. Jioni kuanzia saa 1 hadi 4 anazima simu. Mwisho nililetewa kabinti ka form six kamefukuzwa kwao kana mtoto mchanga . Habari ikaishia hapo. Thanx kwa ujumbe mzuri.
Nadhani hizi ni dalili za mtu ambae ameshakupatia msaidizi/mtu wa kuchukua nafasi yako zaidi kuliko anaetaka kukuacha tu.Katika hali ya kawaida mtu anaetaka kukuacha kwa sababu nyingine tofauti na kupata anaemuona bora kuliko wewe hatakua na haja ya kuficha simu au kuikumbatia kama mtoto.Ila wa kuogopwa ni wale ambao leo mnacheka na kufurahi alafu kesho unaambiwa bye bye.Hii ndo hua inawafanya watu wachanganyikiwe maana bila dalili huwezi kujiandaa unakua hukutegemea!
Mkwaruzo bana yamekukuta nini maana du umeongea kweli tupu.........................
kawaida nikiona hizi dalili,mapema namaliza mahusiano hata kama nimependa kupita maelezo,bora nikalilie mbele ya safari kabla mahusiano hayajafika pabaya zaidi
Dude! Kwani kuachwa ndio kuna dhihirisha kuwa umeyafaidi mapenzi?Basi mapenzi hujayafaidi. Raha ya mapenzi upitie engo zote. Pande za maumivu japo kidogo na za maraha kwa sana tu.
Dalili ya mvua ni mawingu ingawaje baadhi ya wakati inaweza kunyesha bila ya hata kuonekana mawingu ya kuridhisha kama dalili yake. Na ni kama hivyo, kabla ya kuachwa huwa zipo dalili tofauti ambazo wengi wetu kwa kuona ni vitu vya kawaida, huwa hatuchukuwi tahadhari za mapema.
Baadhi ya dalili hizo ni hizi zifuatazo ila na wewe ongezea nyengine kwa kujuzana zaidi.
1. Mwenza kukosa raha mnapokuwa pamoja.
2. Kutopenda kutembelewa ikiwa mnakaa sehemu tofauti au kukutaka utowe taarifa kabla ya kumtembelea.
3. Kutoipa umuhimu mitoko yenu ya week end au mengineyo kama ilivyokuwa awali.
4. Kuanzisha majibu ya mkato.
5. Kukujibu kwa kujiamini zaidi.--muhimu kuonesha amekomaa
6. Kutozijibu text zako kwa wakati tofauti na ilivyokuwa awali.
7. Kupenda kuzima simu kwa muda mrefu bila ya sababu za msingi na kutoyajali mawasiliano.--hapa ni kweli anaweza kukuacha
8. Kwenda pembeni kupokea call iliyoingia au kwenda kujibu text. huku ni kucheat
9. Kuchukizwa na kuishika simu yake. -- ni kutojiamini
10. Kutojiamini mnapokuwa pamoja. -- hapa atakuwa anacheat..
Hivyo zinapojitokeza ishara kama hizo ni vyema kuuimarisha upya uhusiano wako kabla hayajakukuta.
Aksante mwayego angalau utatusaidia kupunguza maumivu.....ila nadhani kuna wengine wanaamua tu ghafla bila warning wala nini..nakumbuka nyamayao alisema wake alimwacha ghafla bin vuuu..........tena jana yake tu alitolewa out kwa vicheko na bashasha....wakarudi na kuagana kwa mabusu moto moto kwa ahadi ya kuwasiliana kesho yake (mh hapa pa mabusu nimeongezea) halafu keshoye ghaaaah simu hazipokelewi, sms hazijibiwi kabla ya kulibwaga its over!!
Sasa sijui ni kushindwa kusoma alama za nyakati au kuna wanaoendesha hisia zai kwa reflex actions/thoughts.
ya nyama yao ndiyo kama hayo ya mvua bila ya mawingu ila hayo siyo sana kutokea.
Umesema ukweli me mume wangu alikuwa hadi kuoga anaenda na simu ,sa ya kulala anailalia kwenye mto. Jioni kuanzia saa 1 hadi 4 anazima simu. Mwisho nililetewa kabinti ka form six kamefukuzwa kwao kana mtoto mchanga . Habari ikaishia hapo. Thanx kwa ujumbe mzuri.
Pole chetuntu hyo ni mitihani ktk maisha.Umesema ukweli me mume wangu alikuwa hadi kuoga anaenda na simu ,sa ya kulala anailalia kwenye mto. Jioni kuanzia saa 1 hadi 4 anazima simu. Mwisho nililetewa kabinti ka form six kamefukuzwa kwao kana mtoto mchanga . Habari ikaishia hapo. Thanx kwa ujumbe mzuri.