Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 4,770
- 10,665
1. Huduma za kiafya Zanzibar ni bure for as long as unakitambulisho cha mkazi wa Zanzibar. Matibabu na dawa za Figo, Kansa na magonjwa yote ni bure. Gharama yako ni nauli ya kufika Hospital. Kwa Tanganyika hakuna matibabu bure, kama umefanikiwa kuwa na Bima itakuwa ni faida kwako. Kati ya watanganyika takribani 58M , wenye Bima hawazidi asilimia 18…. Hii inamaana zaidi ya 80% ya watanganyika wanapaswa kutumia fedha zao kwenye afya
2. Ushuru wa magari, kwa mfano kuitoa IST zanzibar ni Kati ya 2.5 hadi 3.5 aidha kwa bara kuitoa IST ni takriban 5.7 hadi 6.4M
3. Mzanzibar anaweza kuajiriwa kwenye serikali ya mapinduzi na
serikali ya Jamhuri kwa mfano, mbunge wa makunduchi anao uhuru pia wa kugombani ubunge wa eneo lolote la Tanganyika au mtumishi wa serikali ya mapinduzi anaweza kuingia kwenye serikali kuu ya Jamhuri.Hii ni ngumu Sana Mtangqnyika kuingia Serikali ya mapinduzi na kuhodhi vyeo
3. Umiliki wa Ardhi, Mzanzibar anayohaki ya kumilili ardhi Zanzibar na Tanganyika; kwa Mtangqnyika ni ngumu kuhodhi ardhi ya zanzibar unless ushirikiane na Mzanzibar mwenye kitambulisho cha makqzi ya Zanzibar
4 Mali asili za Tanganyika kama madini na mafuta ni mali za URT, mali za Islands sio mali za URT . Mfano gesi
Iliyogundulika ZNZ sio mali ya URT but gesi ya Mtwara ni mali ya Tanganyika na ZNZ
5. Bandari ya Dar es salaam na Bandari zote Tanganyika ni bandari za URT ila bandari ya Zanzibar sio Bandari ya URT na mapato yake yanainufaisha zanzibar tu . Aidha, Bandari ya DSM imeuzwa kwa waarabu na kupelekea gharama za bidhaa kupanda snaa maana jamaa wanadai wanatumia vifaa vya kisasa hivyo lazima kodi iwe juu. Kwa wale wanaoagiza bidhaa nje watathibitisha hili. However, maumivu haya ya kupanda kwa bei hayahusiani na Zanzibar
6. Deni , fedha zinapokopwa na Serikali ya URT , fedha hizo pia zinaenda kuinufaisha sehemu ya ZNZ ikiwa ni sehemu ya URT. Ila kwenye malipo, Serikali ya URT inatumia resources za Tanganyika kufanya malipo ya deni hilo. Halikadhalika, pesa zinazokopwa na Zanzibar ni kwa ajili ya matumizi ya Zanzibar tu
7. Mkopo wa HELSB. Zanzibar wanapata Mkopo wa HELSB kwa asilimia 100 , lakini pia kuna fungu la serikali ya mapinduzi inawapatia kama gharama za kujikimu. ( study allowance and accommodation) Kadhalika, Mtangqnyika anapata mkopo kwa asilimia, wapo watakaopata 100 na asilimia 80, etc lakini pia hawana access nyingine na hawawezi kuingia kwenye study allowance ya Zanzibar
8. Scholarships, Scholarships za kusoma nje kwa ajili ya URT Mzanzibar ataomba kama atakavyoomba mtangqnyika na wote watagombania, lakini kuna scholarship zinazokujq kwa ajili ya zanzibar tu , hizo haziwi shared tanganyika na mtanganyika huwezi kuzijuq wala kuziomba. Only for Zanzibars chini ya SMZ
Taifa bado linachangamoto nyingi
2. Ushuru wa magari, kwa mfano kuitoa IST zanzibar ni Kati ya 2.5 hadi 3.5 aidha kwa bara kuitoa IST ni takriban 5.7 hadi 6.4M
3. Mzanzibar anaweza kuajiriwa kwenye serikali ya mapinduzi na
serikali ya Jamhuri kwa mfano, mbunge wa makunduchi anao uhuru pia wa kugombani ubunge wa eneo lolote la Tanganyika au mtumishi wa serikali ya mapinduzi anaweza kuingia kwenye serikali kuu ya Jamhuri.Hii ni ngumu Sana Mtangqnyika kuingia Serikali ya mapinduzi na kuhodhi vyeo
3. Umiliki wa Ardhi, Mzanzibar anayohaki ya kumilili ardhi Zanzibar na Tanganyika; kwa Mtangqnyika ni ngumu kuhodhi ardhi ya zanzibar unless ushirikiane na Mzanzibar mwenye kitambulisho cha makqzi ya Zanzibar
4 Mali asili za Tanganyika kama madini na mafuta ni mali za URT, mali za Islands sio mali za URT . Mfano gesi
Iliyogundulika ZNZ sio mali ya URT but gesi ya Mtwara ni mali ya Tanganyika na ZNZ
5. Bandari ya Dar es salaam na Bandari zote Tanganyika ni bandari za URT ila bandari ya Zanzibar sio Bandari ya URT na mapato yake yanainufaisha zanzibar tu . Aidha, Bandari ya DSM imeuzwa kwa waarabu na kupelekea gharama za bidhaa kupanda snaa maana jamaa wanadai wanatumia vifaa vya kisasa hivyo lazima kodi iwe juu. Kwa wale wanaoagiza bidhaa nje watathibitisha hili. However, maumivu haya ya kupanda kwa bei hayahusiani na Zanzibar
6. Deni , fedha zinapokopwa na Serikali ya URT , fedha hizo pia zinaenda kuinufaisha sehemu ya ZNZ ikiwa ni sehemu ya URT. Ila kwenye malipo, Serikali ya URT inatumia resources za Tanganyika kufanya malipo ya deni hilo. Halikadhalika, pesa zinazokopwa na Zanzibar ni kwa ajili ya matumizi ya Zanzibar tu
7. Mkopo wa HELSB. Zanzibar wanapata Mkopo wa HELSB kwa asilimia 100 , lakini pia kuna fungu la serikali ya mapinduzi inawapatia kama gharama za kujikimu. ( study allowance and accommodation) Kadhalika, Mtangqnyika anapata mkopo kwa asilimia, wapo watakaopata 100 na asilimia 80, etc lakini pia hawana access nyingine na hawawezi kuingia kwenye study allowance ya Zanzibar
8. Scholarships, Scholarships za kusoma nje kwa ajili ya URT Mzanzibar ataomba kama atakavyoomba mtangqnyika na wote watagombania, lakini kuna scholarship zinazokujq kwa ajili ya zanzibar tu , hizo haziwi shared tanganyika na mtanganyika huwezi kuzijuq wala kuziomba. Only for Zanzibars chini ya SMZ
Taifa bado linachangamoto nyingi