Zijue kampuni zilizowekeza katika mafuta na gesi Tanzania - BG Group

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
BG_Group.svg.png

Awali BG Group ilikuwa ni Shirika la Gesi la Uingereza lililokuwa likiendeshwa na Serikali. Shirika hilo lilibinafsishwa mwaka 1986 na kuitwa British Gas plc; kampuni hiyo baadaye ikagawanyika kuwa BG plc na Centrica mwaka 1997. Mnamo 1999, BG plc ilibadilishwa na kuwa BG Group plc baada ya kufanyika marekebisho ya kifedha.

Kwa habari zaidi, soma hapa => Zijue kampuni zilizowekeza katika mafuta na gesi Tanzania – BG Group | Fikra Pevu
 
Back
Top Bottom