Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,595
- 2,069
wateja tayari wameanza kumiminika kwa wingi,,,zapatikana wapi mkuu??
Sent using Jamii Forums mobile app
wateja tayari wameanza kumiminika kwa wingi,,,zapatikana wapi mkuu??
Vipo Vyakula na matunda vya kukuepusha na magonjwa na kuuweka mwili fiti mkuu....Lakini wewe umekuja na tangazo la kuuza milonge kisa tu inaongeza nguvu za kiume hapo kwenye nguvu za kiume utawapiga sana "MAZWAZWA".
Ndiyo,karibu
Sio mbishi mkuu,kama ina maajabu why watu wanakazania inaongeza nguvu za kiume tu? Kwanini usinge_target kisukari maana kinaathiri wanawake na wanaume hapo soko lingekuwa kubwa zaidi lakini wewe ue_target nguvu za kiume tu unless iwe inatibu pia na za kike.Yani kwani wewe hujui maajabu ya mlonge jamani au ubishi wako tuu
Kuna mabandiko kibao humu kuhusu mlonge so mimi nimekuja kivingine ili kuchangamsha genge,ningekuja kama unavyosema hakuna mtu angecommentSio mbishi mkuu,kama ina maajabu why watu wanakazania inaongeza nguvu za kiume tu? Kwanini usinge_target kisukari maana kinaathiri wanawake na wanaume hapo soko lingekuwa kubwa zaidi lakini wewe ue_target nguvu za kiume tu unless iwe inatibu pia na za kike.
Ata za kike unatibuSio mbishi mkuu,kama ina maajabu why watu wanakazania inaongeza nguvu za kiume tu? Kwanini usinge_target kisukari maana kinaathiri wanawake na wanaume hapo soko lingekuwa kubwa zaidi lakini wewe ue_target nguvu za kiume tu unless iwe inatibu pia na za kike.
Okay Mkuu.Ata za kike unatibu
Ngoja mmepewe mizizi ya mwarobaini
Nguvu za kikeAta za kike unatibu
Ngoja mmepewe mizizi ya mwarobaini
Okay Mkuu.
Sijaharibu biashara namwambia akae chonjo mjini hapaAcha kutuharibia biashara sio mizizi tuu ata unga wa Majani unafanya kazi
Unashaanga nini,kuna wanawake homoni zao haziko sawa so wana poteza hamu ya kufanya tendo so mlonge unatibu ilo tatizo na mengine mengiNguvu za kike
Ohooo kwa hiyo akinywa au akila anaitaka yeye kukaliaUnashaanga nini,kuna wanawake homoni zao haziko sawa so wana poteza hamu ya kufanya tendo so mlonge unatibu ilo tatizo na mengine mengi
Ndiyo na hamu haiishi harakaOhooo kwa hiyo akinywa au akila anaitaka yeye kukalia
Mlonge ni lishe mkuuNakumbuka kipindi tunakua, kuna mtu akaambiwa mkojo ni daa ya chunusi, awe anakojoa mkojo wa kwanza asubuhi alafu apake usoni(jamaa alikua na chunusi balaa) ikawa kazi yake... akiwah tu kuamka, anazunguka nyuma ya bweni la mapinduzi... anakojoa.... maskini ya mungu anajipaka..... karibia miezi mi3..... hola.....
Hii mambo ya kuambiana sjui kitu gani ni dawa ya nguvu za kiume inashika kasi sana..... watu tumesahau tiba kuu ni LISHE.... hakuna jingine.... ukiwa na mpangilio mzuri wa kula vyakula vya kujenga mwili...... basi swala la nguvu za kiume unasahau.... we muda wote unakuwa na uwezo wa kupiga shoo utakavyo.
ni vyema mkuu maana MAGUFURI HAFAINdiyo lakin tunagawana ridhki tuu haina noma
Sio mbishi mkuu,kama ina maajabu why watu wanakazania inaongeza nguvu za kiume tu? Kwanini usinge_target kisukari maana kinaathiri wanawake na wanaume hapo soko lingekuwa kubwa zaidi lakini wewe ue_target nguvu za kiume tu unless iwe inatibu pia na za kike.