shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,428
- 3,512
Mkuu nimekosea haina shida kwa kweli ila kwa wale waliopandikizwa figo inazuia madawa ya kushusha kinga ili figo isishambuliwe, sababu hii dawa ina boost sana kinga.Kwa wanaohiyaji vitabu
mkuu fafanua kvp
Sent using Jamii Forums mobile app