cadey
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 1,455
- 4,410
Chuma Majani yake asubuhi yake ya kijana tuu yalikomaa yaoshe acha yajichuje maji kisha anika ndani yasipate mwanga wajua baada ya siku tatu nne yatakuwa yamekauka yatwangwe chekecha utapata unga hifadhi kwenye kopo funga vizuri kisha anza kutumia kijiko kimoja cha chakula kutwa mara mbili kwenye maji ya vuguvugu sio ya moto haitafanya kaziSasa mkuu hapa ninapokaa kuna milonge mingi sana na imetoa mbegu zake na zimekomaa sana embu nielekeze ili niwe natengeneza mwenyewe iyo dawa maana maumivu ninayoyapata ni makali sana
Sent using Jamii Forums mobile app