Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,611
- 164,629
Swaga ya "wapiga deal iko wapi"?Mbona ndugu migebuka ameshindwa kutwambie kama tusipo muongezea Magufuli siku ikulu nani tumpe?
Jikite kwenye mada,mlisema wapiga deal ndio walifunga biashara!Imekuwaje???Zito Kabwe njoo na ngonjera zako za bandari ya bagamoyo.
Mnahongwa pesa mtetee ujinga na ufisadi
Swaga ya "wapiga deal iko wapi"?
mzee kuanzia sasa wasikilize wapinzani ndio wanaosema ukweli sasa mnavyowafanyia kule bungeni na nje si sawa nadhani sasa unaweza badilika baada ya kuelewa umuhimu wa bunge live na kukubali kukosolewa
Na tena wakiambiwa biashara zinafungwa, wao wanasema kuna mpya zinafunguliwa na Bungeni wanapiga makofi.Jikite kwenye mada,mlisema wapiga deal ndio walifunga biashara!Imekuwaje???
Hii picha inaongea yote kabisa
Suala siyo nani apewe. Suala ni kuheshimu Katrina na sheria za nchi zilizopo.Mbona ndugu migebuka ameshindwa kutwambie kama tusipo muongezea Magufuli siku ikulu nani tumpe?
Waje wajibu hizi hoja,wasitufanye wajinga!Na tena wakiambiwa biashara zinafungwa, wao wanasema kuna mpya zinafunguliwa na Bungeni wanapiga makofi.
Msiwaamini hawa watu.Hii ni siasa tu.
Mbona ndugu migebuka ameshindwa kutwambie kama tusipo muongezea Magufuli siku ikulu nani tumpe?
Kama hujui wa kumpa Ikulu mpaka sasa hadi uambiwe na Zitto, basi utakuwa na akili za kuku!!Mbona ndugu migebuka ameshindwa kutwambie kama tusipo muongezea Magufuli siku ikulu nani tumpe?
Mkulu amekalia kiti, lakini haenei kwenye kiti chenyewe. Cha ajabu atataka aongezewe miaka mingine mitano!!!!
Dohhh Mkuu binadamu mwenzio huyoMTUPOLI ana sura nzito kama pasi ya mkaa.