Rukaka2020
Senior Member
- Jun 20, 2020
- 137
- 644
Ndugu hujamuelewa mtoa maada, Huko mwisho atasema tu DAWA ZA KUMALIZA TATIZO ZIPO NA ANAZIUZAWakati unapump dick kuna hewa inangia kwenye vagina then later on inatoka kwa sauti kwa kizungu wanaita "Queefing" na sio kujamba/fart kama unavyosema. Ni kitu cha kawaida, haina uhusiano wowote na ulichokiandika. Kwa kifupi umeingia chaka mkuu.
Ni marketing strategy unawaaminisha watu tatizo upate soko


